Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Nimeiuza dear ruksa nitakuachia wote wa hivi

ahsante sana kwa kuniuzia hio kesi mzazi mwenzangu......!
WALLET POPOTE ULIPO JUST COME AND TRY ME.....!i would prefer a public battle
 
hahahahahah lol asante sana
mmmmhhh kwa kweli ..
si dhani ka ntarusha thread ka hiyo lakini ..
mmmhh

mama mi nakushauri tu uolewe HARAKA IWEZEKANAVYO ili urudi tena kutafuta infii.....!(hapo ndo hata sisi tutaingia kwenye ushindani wa hiyo zabuni):A S crown-1::A S crown-1:
 

mkumbushe kimey kwamba maty asema usisahau ulanzi hasa nikiiona avatar ya teamo ndo kabisa udenda unanidondoka. Haya mabia yanatutoa vitambi bana nataka nipumzike kwa kunywa ulanzi krisimasi
 
mkumbushe kimey kwamba maty asema usisahau ulanzi hasa nikiiona avatar ya teamo ndo kabisa udenda unanidondoka. Haya mabia yanatutoa vitambi bana nataka nipumzike kwa kunywa ulanzi krisimasi

mama habari yako bana!
UPO WEWE?

sasa usikose tar 26/12/2010 nitakuwa nabatiza shangazi yako pale nyumbani.sherehe itafanyikia kwa baba sunday-pale panauzwa mbege 24/7
 
mama mi nakushauri tu uolewe HARAKA IWEZEKANAVYO ili urudi tena kutafuta infii.....!(hapo ndo hata sisi tutaingia kwenye ushindani wa hiyo zabuni):A S crown-1::A S crown-1:

hahahahah lol
mmmmhhh ndoa mambo ya ndoa mmhhh
kwa kweli mie mmhhh sijui niseme nini..
siko tayari kabisaaa kabisaa...
 
mama habari yako bana!
UPO WEWE?

sasa usikose tar 26/12/2010 nitakuwa nabatiza shangazi yako pale nyumbani.sherehe itafanyikia kwa baba sunday-pale panauzwa mbege 24/7

haya bwana mie ndo mwaliko sipati ..
hmna neno nitume address kwenye PM nitume ka kitu na mie nijisie vizuri..
na ntajialika mwenye...
 
malaika yuko okay kabisa...(sema ndo hivo bado sijamFABricate)
POLE NA BARIDI!

sina utani na wewe TEAMO,so sielewi kwa nini unitaje?....jana pia ulifanya hivyo ukaedit....nakuona hivyo!!!
 
mama habari yako bana!
UPO WEWE?

sasa usikose tar 26/12/2010 nitakuwa nabatiza shangazi yako pale nyumbani.sherehe itafanyikia kwa baba sunday-pale panauzwa mbege 24/7

nitafika bila kukosa nimuone huyo shangazi yangu g mwe, hiyo mbege uweke oda kabisa maana naona kimey kajikausha
 
hahahahah lol
mmmmhhh ndoa mambo ya ndoa mmhhh
kwa kweli mie mmhhh sijui niseme nini..
siko tayari kabisaaa kabisaa...

Etiiiiiiii???? Umesema hauko tayariiii??? Wewe na yule garma utampeleka wapi utakomaa tu usijali
 
haya bwana mie ndo mwaliko sipati ..
hmna neno nitume address kwenye PM nitume ka kitu na mie nijisie vizuri..
na ntajialika mwenye...
ha ha ha!
unajua G ana shangazi zake wengi sana!mi nilidhan utakuwa huko kwenye baridi...lakin no baad,na samahani kwa kukutenga.

CHECK YOUR PM....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…