Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

jamani wakina dada msioolewa harambee harambeeeee!KARIBUNI KWETU TULIOOA NA AMBAO TUNAISHI NA WAKE ZETU....

1-tuna uzoefu na wakina mama
2-tunawamudu
3-tunawajali
4-tumewazoea
5-hatutawaangusha

karibuni sana jamani!
NASUBIRI PIEMU
 
jamani wakina dada msioolewa harambee harambeeeee!KARIBUNI KWETU TULIOOA NA AMBAO TUNAISHI NA WAKE ZETU....

1-tuna uzoefu na wakina mama
2-tunawamudu
3-tunawajali
4-tumewazoea
5-hatutawaangusha

karibuni sana jamani!
NASUBIRI PIEMU
Ushindwe! na ule............!!!!!
We ARE NOT SPARE TIRES!
We need brand new one,you are used!
samahani kama nimewakwaza! lol!
 
jamani wakina dada msioolewa harambee harambeeeee!KARIBUNI KWETU TULIOOA NA AMBAO TUNAISHI NA WAKE ZETU....

1-tuna uzoefu na wakina mama
2-tunawamudu
3-tunawajali
4-tumewazoea
5-hatutawaangusha

karibuni sana jamani!
NASUBIRI PIEMU

Hapa, MPANGO WA NJE NDO MPANGO MZIMA!!!!
 
mh sasa dena jamani huyu wangu alieacha mke ndio nimuache sasa mwe uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mbona tuko karibia kufunga ndoa dah mtihani!!
 
The POWER of LOVE !!!!

Halafu wewe umeanza !Ngoja nimwambie wiselady asishuke mlimani.halafu kwa nini chatrum imehamishiwa kwa wakubwa? na wewe sio pirimiamu memba!Nakushauri ufuate msemo wa mkono mtupu haulambwi
 
kama ndio hivyo basi hata mwanamke aliyeachana na mumewe kamwe asiolewe

Kuna exception to every rule.. Haya mdada ukaolewa ukakuta mwanaume bi sexual utakaa ukisubiri nn? Or vice versa
 
ushindwe! Na ule............!!!!!
We are not spare tires!
We need brand new one,you are used!
samahani kama nimewakwaza! Lol!

zd hebu njoo kwangu i am brand new not used assembled in us and made in us not made in china-ni pm fasta kabla sijachukuliwa na mtu mwingine
 
halafu wewe umeanza !ngoja nimwambie wiselady asishuke mlimani.halafu kwa nini chatrum imehamishiwa kwa wakubwa? Na wewe sio pirimiamu memba!nakushauri ufuate msemo wa mkono mtupu haulambwi

will do it this week my love, my honey bunny wangu sawa!!!!!
 
mh sasa dena jamani huyu wangu alieacha mke ndio nimuache sasa mwe uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mbona tuko karibia kufunga ndoa dah mtihani!!

Timkia mbali Maty hana mapenzi tena huyo kuna kitu anatafuta kwako jiangalie vizuri
 
Halafu wewe umeanza !Ngoja nimwambie wiselady asishuke mlimani.halafu kwa nini chatrum imehamishiwa kwa wakubwa? na wewe sio pirimiamu memba!Nakushauri ufuate msemo wa mkono mtupu haulambwi

Wiselady ndo dawa yake huyo
 
Mpendwa Dena,mi nadhani mapenzi hayapangwi,ni mola tu ndo anakukutanisha na mpendwa wako. Kama kweli kuna watu wanakaa na kuanza kuandika specifications na rules and regulation za mapenzi na mpenzi mtarajiwa najua itasumbua wengi. Kwenye website yangu nshawahi kuandika kuwa mapenzi hayapangwi pia huwezi ukajua kuwa miaka flani ijayo utakuwa umeolewa au umeoa mtu flani. Ni vigumu sana. Anyway nadhani tuelewe kuwa kupendana ni implied event, Dena nadhani uyo uliyenae ulimuelewa vizuri baada ya kuwa nae si kabla ya kuwa nae. Anawezasema sijaoa kumbe miaka 3,7,au kumi nyuma alishafarakana. Mi nadhani tuangalie upendo wa kweli. Dena,siku njema.
 

utafiti wako ni batili na hitimisho lako ni lakupotosha.rudia tena huu utafiti na ukishindwa omba msaada kabla ya kufanya conclusion ya namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…