joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Wakenya wanawapenda na kutamani mfumo mzima wa maisha wa Tanzania.
Karibuni majirani katika nchi ya maziwa na asali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasije watatuletea Corona
Sura za wakenya ni ngumu sana kutambua yupi Mwanaume na yupi mwanamke, wote wamefanana na Raila Odinga
Jamani...Wasije watatuletea Corona
Sura za wakenya ni ngumu sana kutambua yupi Mwanaume na yupi mwanamke, wote wamefanana na Raila Odinga
Kweli, yaani nyinyi wanawake wetu wa huku Tz,mnatukosha Sana,alafu,wamesahau kipengele kimoja hapo,wengi mnajua kucheza zile mechi zetu vizuri kuliko wakenya.Dada umetuchambua vyema
Tz ladies wakarimu ila usiwavuruge kwa makusudi kuzungumza tulijaliwa na muumba
Kwani Diamond, Ben Pol na Ali Kiba wameoa na kuzaa na Raila Odinga?Wasije watatuletea Corona
Sura za wakenya ni ngumu sana kutambua yupi Mwanaume na yupi mwanamke, wote wamefanana na Raila Odinga
Muambie huyo ndugu yako kuwa Diamond, Ben Pol na Ali Kiba sio wazimu kwa kuchumbia wasichana wa Kikenya.Wapo wanawake Wakenya Mkuu wazuri sana si wote wana sura ngumu.
Usifanye nije huko kucheza kambumbuKweli, yaani nyinyi wanawake wetu wa huku Tz,mnatukosha Sana,alafu,wamesahau kipengele kimoja hapo,wengi mnajua kucheza zile mechi zetu vizuri kuliko wakenya.
Muambie huyo ndugu yako kuwa Diamond, Ben Pol na Ali Kiba sio wazimu kwa kuchumbia wasichana wa Kikenya.
Ukija huku hutoki mkuu, yaani ni watalamu balaa.Usifanye nije huko kucheza kambumbu
Ndio sababu karibu wote wamewamwaga, wanawachezea na kuwatema.Kwani Diamond, Ben Pol na Ali Kiba wameoa na kuzaa na Raila Odinga?
Kambumbu lenyewe unaliweza ? Labda uje kutufojia GDPUsifanye nije huko kucheza kambumbu
Huyo dadazake na mamake ndio Wana sura ngumuMkuu mimi mwenyewe nina marafiki zangu wanawake wa Kikenya Nchi mbali mbali duniani tunaheshimiana kama majirani ni wazuri sana. Hivyo kusema wanawake wa Kenya wana sura ngumu si kweli hata kidogo.
Sema dadazako ndio Wana sura za Magufuli 😂🤣Wasije watatuletea Corona
Sura za wakenya ni ngumu sana kutambua yupi Mwanaume na yupi mwanamke, wote wamefanana na Raila Odinga
[emoji23][emoji23][emoji23]afu wakorofi balaaaWasije watatuletea Corona
Sura za wakenya ni ngumu sana kutambua yupi Mwanaume na yupi mwanamke, wote wamefanana na Raila Odinga
Maisha yamewachanganya, hawana soko katika ukanda huu.[emoji23][emoji23][emoji23]afu wakorofi balaaa