Umeona maelezo ya boss anavyotoa sababu za makabila? kwani Ug hawana makabila?
hawana mchanganyiko na wanyarwanda?
Boss, tuna makabila 300 au 126! Au mengine ni unofficial?nimekwambia wingi wa makabila
na kuchanganya damu
intermarriages,,,,,,,,,
huko kenya na uganda watu wengi wana oa
ndani ya makabila yao kulinganisha na tanzania.....
halafu sisi tuna makabila zaidi ya 300,uganda hayafiki
50,kenya hayafiki 150.
Umeona maelezo ya boss anavyotoa sababu za makabila? kwani Ug hawana makabila?
hawana mchanganyiko na wanyarwanda?
Hii maneno ya "wasichana wa wapi wako hivi kuliko wa kule" huwa inakuwa imefanyiwa utafiti gani hadi?
Mi sijatembea jamaeni, embu nambieni kama kuna nchi za wasichana wabaya![/QUOTE]
Ndio! Kenya, Zambia na Malawi ndizo zinaongoza kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati!
nimekwambia wingi wa makabila
na kuchanganya damu
intermarriages,,,,,,,,,
huko kenya na uganda watu wengi wana oa
ndani ya makabila yao kulinganisha na tanzania.....
halafu sisi tuna makabila zaidi ya 300,uganda hayafiki
50,kenya hayafiki 150.
Umeona maelezo ya boss anavyotoa sababu za makabila? kwani Ug hawana makabila?
hawana mchanganyiko na wanyarwanda?
hilo linaeleweka.....
wasichana wa Tz ni wazuri kuliko wa Uganda na Kenya....
sababu kuu ni wingi wa makabila na mchanganyiko katika kuzaliana..
hii ni faida ya kupiga vita ukabila,tumezalina na kuchanganya damu
mbalimbali,matokeo yake ndo hivyo,
wasichana wetu ni wazuri kupita maelezo....