kwa hiyo huwajui sio? Sasa kwa nini umejibu? Unaropoka kijana
Wanaodai watu wa Tanga washirikina kwa mambo ya mapenzi,waliwasahau hawa jamaa.
Dah mkuu...Jamani nakuombeni msaada wenu. Kuna jamaa yangu kaniulizia habari za mabinti wa kipare baada ya kusoma za wasichana wa kichaga. Sasa yeye lengo lake ni kujua tu labda mambo muhimu kama sifa zao hawa wapare kama wake. Je wanastahimili hali ya uanamke ndani ya nyumba au nimemshauri akaangalie kwingine
Tuwe fair. Last time nilimshauri rafiki yangu mmoja kuwa akiangalia sana sura anaweza kwenda kuwaoa wairaqw lakini ajiandae kwa kuteswa na mke kwakuwa wale jamaa nje wanaachia sana.
Best
ukabila na udini ni prototype ya desperate and ignorant societyukabila = tabia??
Mtaacha lini ukabila huu???
Hebu acheni kuunganisha vitu
Huku uzandiki mwingi hahhah
I had to change the medium of communication just for what you have said nipate sehem ya thanks😛eace:!very good..Dah mkuu...
with all due respect, i find this post somehow degrading to women and abusive... maana unaulizia wapare kama vile ndizi au maembe na hapohapo unatoa ushuhuda wa wairaqw....
Trust me, in any tribe or gender, you will find all characters and personalities... tuliwadhalilisha sana wahaya miaka ya nyuma but many people got very nice wives and husbands from teh very same tribe
My advice to you and the likes of your... we (men and women) contribute alot to shape our partners and make them good or bad, tumeshuhudia malaya wakiwa very nice wives or husbands and saints becoming alcoholics an d sex toys
MY TAKE HOME MESSAGE: RESPECT IS EARNED AND NOT GRANTED.... EARN YOUR RESPECT FROM LADIES BY RESPECTING THEM AND NURTURE YOUR RELATIONSHIP BUDDY!!
mi ntaua mtu hapa nshaona
mi ntaua mtu hapa nshaona
Washindadhe kwanza..:eyeroll1:
ntamchukua haus i geli ntaenda nae kule ...mi hapa nataka kuua mtuBaba watoto ukiua utaenda jela nami nitakosa wa kunichakachua njoo kule usafishe mambo kuna kali zaidi nimeweka:smile-big::smile-big:
herehoa avae
Jamani nakuombeni msaada wenu. Kuna jamaa yangu kaniulizia habari za mabinti wa kipare baada ya kusoma za wasichana wa kichaga. Sasa yeye lengo lake ni kujua tu labda mambo muhimu kama sifa zao hawa wapare kama wake. Je wanastahimili hali ya uanamke ndani ya nyumba au nimemshauri akaangalie kwingine
Tuwe fair. Last time nilimshauri rafiki yangu mmoja kuwa akiangalia sana sura anaweza kwenda kuwaoa wairaqw lakini ajiandae kwa kuteswa na mke kwakuwa wale jamaa nje wanaachia sana.
Best
Mkuu akili mukichwa, ila wanawake wa Kichaga hasa wa Machame, kipare, kihaya, kiha, kikulya, kimakonde, kizaramo, kiambaa,kidigo,kindengereko,kinyakyusa hawa wanatakiwa waolewe na watu wa makabila yao vinginevyo umeumia
herehoa avae
Utalishwa makande kila siku mpaka uchanganyikiwe!.:eyeroll1:
wote ni wanawake sawa tu,tabia kila mtu ana zake kutokana na malezi na mazingira aliyokulia
nidai pipi:smile-big: