Yaani mama kama watoto wa-kishua wangekuwa na kitu cha ziada kinachowafanya WAJIONE EXPENSIVE mimi ningewahonga hata uhai wangu!wanakwepa gharama tu hawana lolote, wanaogopa shopping za namukat wanataka wa kuwapeleka tandika sokoni.....starehe gharama bwana.
..Nani kakwambia mazee??!. watoto wa uswazi kwenye game wako fit sana unaweza kukamua mpaka bao 3 na mtoto yuko sawa. Sio wale wa geti chips mayai ukimgonga vizuri bao moja la nguvu ujue kumpata tena baada ya miezi mitatu na mizinga mingi mara vocha mara anataka kwenda kiwanja mara anataka blackberry ili mradi kila kukicha anaku-invoice tu!
Mbaya zaidi mpwa hizi huwa hazina retirement, yaani ukimpiga na vocha ya 10,000 unaambulia message moja ya asante!π
....hahahahahha!Mbaya zaidi mpwa hizi huwa hazina retirement, yaani ukimpiga na vocha ya 10,000 unaambulia message moja ya asante!π
....hahahahahha!
SENKSI
wengine wanaishia kukudipu
siku hizi watoto wa kishua wanaenda unyago kakwambia nani mambo hawayawezi, nyie semeni mmeamua kubadilisha kutoka kuku wa kisasa kwenda wa kienyeji
mna mambo kweli kweli, sasa kwanini mnajitesa? c muwanyime/mcwatumie, na nyie taka ctaki hamna lolote, watoto wa kishua ndio hao mnatokaga nao outing kuuza nao sura.
wanajifanya kufa kumbe hata kuzimia hawawezi
wanajamvi, mbona mnatishia binamu. Naniliu? au kuna mtu anapiga ndogondogo jamvini kwa style ya nataka sitaki afu anaubeba mzigo fasta kama analia vile.
kwa hayo mapenzi vijana wa kileo, mnachanganya na sarakasi, isidingo na senema! Mtajikuta mnawafuata wa kishua tu, labda mdororo wa uchumi uendelee kwa miaka kadhaa. Uzuri wa watoto wa Uswazi, sometime unapiga tuta, some time gest za shoti time buku, hadi na nusu- poa.
Mtoto wa kishua kama mambo hayajatulia lazima umpige siasa, kazi nyingi nipo tight etc etc, maana ukimgusa tu tutoke vilaki vinatekeketea kama umasimama! hotel ya buku twent anakushangaa, afu shopping za suprise. ile tu unakata kona, utasikia honey tuingie humu niangalie tu. ukizidiwa tu kumkonvinsi mkaingia, afu ni kibutiki kipo masaki, hesabu maumivu!
wasalam,
hehehehehe, jamani ukweli ndo huo, kwa siye wanaume kwani kumtumia mtu ina tatizo gani ila ndo kutest tu kuona mwitikio ndo huo unasepa, mwenyewe unarudi kundini=uswazi!
hapa ieleweke tunamaanisha watoto wanajifanya wa kishua kisha hawana kitu mfukoni....of course naniliu na Mrs wangu hamqualify hapa!ππ
Mpwaaz! Hiyo bold imikuzawadia SENKSI! Home sweet hommy = uswazi!. Watoto wa kishua waendelee kuangalia shades of sin wakati sisi tunajivinjari na mchiriku na watoto wa kiswazi!
Hivi unazo lyrics za kale ka wimbo kwenye shades of sin?
Mpwaaz! Hiyo bold imikuzawadia SENKSI! Home sweet hommy = uswazi!. Watoto wa kishua waendelee kuangalia shades of sin wakati sisi tunajivinjari na mchiriku na watoto wa kiswazi!
Mbaya zaidi mpwa hizi huwa hazina retirement, yaani ukimpiga na vocha ya 10,000 unaambulia message moja ya asante!π[/QUOTE Si ndio hapo balaa? Mwingine alinipiga mkwara kuwa nisijaribu kumtumia vocha chini ya 5,000 na anafanya kazi kwenye taasisi ya fedha! Ah! Nimejivumbulia uswazi moja hivi najikamulia mwanzo mwisho at low costs!!
He! Haya! Mi naangalia tu! China cha kuchema tena!Hivi unazo lyrics za kale ka wimbo kwenye shades of sin? Nataka nimwimbie Xpin nimpe mapenzi ya ushuani
heheee weee mtoto wa mamushka nini???? watoto wa uswaazi subiri uimbiwe mtalimbo umelala doro sasa....
uswaazi watoto watamu ile mbaya!ukianza game NI MWANZO MWISHO MTARIMBO UKO JUU!heheee weee mtoto wa mamushka nini???? watoto wa uswaazi subiri uimbiwe mtalimbo umelala doro sasa....
wapwazi na mabinamuz ninataka kufahamu nani mkali kati ya uswazi na bush. uswazi wamesifiwa sana according to nguli's sredi je na wale wa bush ambao ukikaa vibaya viatu unavikuta kwenye friji, gari likipita lazima asimame na huwa wanasalimia kila mtu n.k, sifa kama zile alizosema prof J kwa wale wanaoifahamu hiyo nyimbo. tuachane na lile suala la wakishajua mjini huwa hawakamatiki (vichechez) tuache hilo, tuangalie heshima zao, maadili, mila na desturi zao. nani anafunikaaaa?