uswaazi watoto watamu ile mbaya!ukianza game NI MWANZO MWISHO MTARIMBO UKO JUU!
watoto wa kishua MBADO SANA!muda wote wanaangalia saa tu wawahi nyumbani
mtoto wa uswazi unaenda kumchukua ijumaa unaweka kambi had jumapili jioni
Ila dada yangu hiyo avatar yako ina kasheshe ya nguvu!!
Nakushukuru sana kwa kusikiliza ombi langu. Inaonekana wewe ni msikivu sana. Natumai Mungu atasikiliza maombi yako kwa mwaka mpya wa 2010 hata kama utaomba mapacha >6 kwa mpigo. Ubarikiwe saaana.🙄
weweeeeeee MASAKI!....Nahisi kinachokufanya kufagilia sana watoto wa Uswazi ni kwa kuwa wanaoatikana kirahisi, na pia hawana gharama sana. Zao ni voucher na vitu vidogo vidogo tofauti na watoto wa kishua.
Ila tatizo la watoto wa Uswazi usafi uko chini ya kiwango kutokana na shida ya maji na hata mazingira wanayoishi. That can easily turn me off!!!
Asante sana ubarikiwe ewe mji mweusi
wapwazi na mabinamuz ninataka kufahamu nani mkali kati ya uswazi na bush. uswazi wamesifiwa sana according to nguli's sredi je na wale wa bush ambao ukikaa vibaya viatu unavikuta kwenye friji, gari likipita lazima asimame na huwa wanasalimia kila mtu n.k, sifa kama zile alizosema prof J kwa wale wanaoifahamu hiyo nyimbo. tuachane na lile suala la wakishajua mjini huwa hawakamatiki (vichechez) tuache hilo, tuangalie heshima zao, maadili, mila na desturi zao. nani anafunikaaaa?
weweeeeeee MASAKI!....
watoto wa uswazi wanajifukiza UDI masaa yote!huko ''ikulu'' kupo SAAAAAAAAAAFI tofauti na watoto wa kishua na mipafyumu yao!....
ikulu za watoto wa-kishua sithubutu😀Hehehe! Ze Pillaz! Najua lazima unuse kunako ikulu! Angalia ikulu nyingine zina midudu!
Hahaha! Zile ukinusa unaibuka na full makemikoz! Unaweza babuka kwa mudomo!ikulu za watoto wa-kishua sithubutu😀
we acha tu!Hahaha! Zile ukinusa unaibuka na full makemikoz! Unaweza babuka kwa mudomo!
Umeiona Senksi niliyokugongea? Amani na idumu!amani yako ndio furaha yangu mshiki anytime, your wish is my command
WA-BUSH si sahihi kuwajaji kuwa hawana mashauzi!WABUSH HAWANA EXPOSURE!ndio maana wakija mijini WANACHETUKA!watoto wa uswazi hawana presha!wanaishi pembezoni mwa miji na wanajua kila starehe ya hapa mjini....!
kazi kubwa kwao wanayowashinda hadi ninyi watoto wa kishua ni kwamba WANAYAWEZA MAPENZI
POA!Well said Geoff, nimekugongea thanks
vivyo hivyo uchoyo kwangu mwiko umeiyona lakini?
Yaani mama kama watoto wa-kishua wangekuwa na kitu cha ziada kinachowafanya WAJIONE EXPENSIVE mimi ningewahonga hata uhai wangu!
bahati mbaya sana WANAWAKE NI WALEWALE!kibaya zaidi watoto wa uswazi WANAWAFUNIKA WATOTO WA KISHUA kwenye kila idara!