Wasichana walivyoumbuka kwenye hii test

Wasichana walivyoumbuka kwenye hii test

koncho77

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
7,789
Reaction score
10,388
Mwalimu katangaza test,
Akatoa Masharti;
Ukiandika jibu hamna
kufuta au kukata.

Swali la kwanza,

Taja vyakula vitatu
ambavyo ukienda
hotelini umelipiwa
utapenda kula (marks
1)
WAVULANA
wakajaza; wali, ugali,
mihogo.

WASICHANA wakajaza;
burger, pizza, egg
chop.

Swali la 2: Eleza jinsi ya kupika
kila chakula ulichotaja
hapo juu. (marks 99)
wacha wasichana waanze
kuhangaika kukata
majibu ya mwanzo!
 
Back
Top Bottom