Wasichana walivyoumbuka kwenye hii test

koncho77

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
7,789
Reaction score
10,388
Mwalimu katangaza test,
Akatoa Masharti;
Ukiandika jibu hamna
kufuta au kukata.

Swali la kwanza,

Taja vyakula vitatu
ambavyo ukienda
hotelini umelipiwa
utapenda kula (marks
1)
WAVULANA
wakajaza; wali, ugali,
mihogo.

WASICHANA wakajaza;
burger, pizza, egg
chop.

Swali la 2: Eleza jinsi ya kupika
kila chakula ulichotaja
hapo juu. (marks 99)
wacha wasichana waanze
kuhangaika kukata
majibu ya mwanzo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…