Wasichana wanaorundika nguo zao za ndani na kufua kwa pamoja ni wachafu

Kulikuwa Kuna haja ya kuanzisha mada/uzi mkuu kwa nini usiwaambie huko. Ushauri wangu nunua kamba yako ili uwe free nayo.
Sasa si hata wewe umepata ujumbe unawza kufua chupi zako kila ukioga au?
 
[emoji3][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40] Hii mada ya uchafu kama ameweza kuhimili kukaa humu kwa dakika 10 basi uchafu ni asili yake..
hahahaha ndio maana nikamwambia huyu braza man ni mchafu ila yeye hajajijua kama ni mchafu....
 

wakianika tena zipitie kwa stail ya huyu jamaa utapata raha duniani
 
Jamii forum ni Fursa Sawa kwa wote, Mada za jinsia Fulani hivi ama vile ni udhalilishaji unaokiuka kanuni ya usawa na kuheshimu utu wa watu. Tuanzishe mada zenye mantiki, staha na utu tunapoelekea Uchumi wa viwanda, yusiwadhalilishe Dada zetu ni watu muhimu sana
 
Usijifanye ustawi wa jamii, hebu onesha kauli ya udhalilishaji hapo.
 
Haihitaji PhD kujua kwamba post za kuidhalilisha jinsia Fulani ni ukosefu wa staha na heshima kwa jinsia husika, kuna hoja na mijadala mingi yenye kujenda na kuwafundisha wana JF badala ya huo upuuzi unaoshabikia. Take time to grow
Usijifanye ustawi wa jamii, hebu onesha kauli ya udhalilishaji hapo.
 
Mkuu hujafanikiwa kuchukua walau picha ya hzo ndude zkiwa kweny kamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zina ka stimu flani. Enzi ya ujana ningefurahia sana kupanga mahali pa namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…