Wasichana wanapenda kununa jaman!

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Yani,imagine mtu kanipigia simu,me nilikua busy kwa mda huo,nkapokea nkamwambia niko busy kdogo na ka vp ntamcheki baadae!!sa hzi nampgia eti kanuna,kisa cha kununa ni mim kuchelewa kumtafuta.sa hapo nimsaidiaje tena huyo mtu wakuu?
 
Sasa wewe gf wako hujui namna ya kumsaidia, unataka sisi tukusaidie au!
 
teh..teh..teh..madem wetu hawa wanazingua sana
 
kuna uzi wa kununa na kususa
rejea notisi
ntatoa mtihani
 
Jamani na nyie wanaume mnakosea unapokuwa busy unatakiwa umwambie mpenzi wako kwa upole kwa mahaba na kwa upendo sidhani kama mwanamke muelewa atakasilika.
 
huyo anakutest tu,mkaushie one week ashike adabu yake!mi wangu hanuni hata kdg,nshachimba bit la kufa mtu,mtoto anajua sipendi huo utoto
 
Yani,imagine mtu kanipigia simu,me nilikua busy kwa mda huo,nkapokea nkamwambia niko busy kdogo na ka vp ntamcheki baadae!!sa hzi nampgia eti kanuna,kisa cha kununa ni mim kuchelewa kumtafuta.sa hapo nimsaidiaje tena huyo mtu wakuu?


senetor vipi mkuu?? mbona unaniaibisha hawa watu bado hujui dawa yao wakinuna?? dawa moja mchape na fimbo ya plastic tena kwa hasira tumia msema wa ukitaka kumuua nyani.... utanipa matokea!
 
Na we nuna uone kama hajakutafuta labda kama hana maslahi na wewe
Yani,imagine mtu kanipigia simu,me nilikua busy kwa mda huo,nkapokea nkamwambia niko busy kdogo na ka vp ntamcheki baadae!!sa hzi nampgia eti kanuna,kisa cha kununa ni mim kuchelewa kumtafuta.sa hapo nimsaidiaje tena huyo mtu wakuu?
 
Mkuu senetor watu wameanza kuwahi cable ya kugawa wireless ya pale library upande wa magazeti,?Hayo ndo mapenz ya wanavyuo maigizo tu,itabidi wiki ijayo nitafute gf kwani ndo namalizia hivyo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…