Una uhakika na unachokisema tusicreat negative perception kwenye mafanikio ya watuRushwa za ngono tu
Wanaume hawana cha kutoa kwa lecturers.Wasichana katika chuo kikuu cha Ardhi wameendelea kuibuka vinara kwa ufaulu dhidi wavulana ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo jambo lililotajwa kuleta matumaini katika usawa wa kijinsia katika elimu ya juu.
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Mafanikio gani, hawa hawa mademu tuliokuwa tunawazidi tangu darasa la kwanza hadi form six, ety wafike chuo ndio akili ije.Una uhakika na unachokisema tusicreat negative perception kwenye mafanikio ya watu
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Chuo sio kama shule ujue? Shule notice kibaoaaaa, chuo slide 2 tu jamani mwalimu anatoapo UE, mara leo anawapa desa la test flani ndiye itabeba UE. 😁 ‘nazungumzia hizi kozi za kina babe Arts na Business.Mafanikio gani, hawa hawa mademu tuliokuwa tunawazidi tangu darasa la kwanza hadi form six, ety wafike chuo ndio akili ije.
Siku wanawake mkiongoza inakua habari ya mjini..sisi wamaume hutosikia tumeanzisha uzi maana kuongoza ni jadi yetuWasichana katika chuo kikuu cha Ardhi wameendelea kuibuka vinara kwa ufaulu dhidi wavulana ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo jambo lililotajwa kuleta matumaini katika usawa wa kijinsia katika elimu ya juu.
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Hivi mi nmepata A course 6 na B+ course Moja jumala ya kozi ni 7 mwisho wa siku nmepata gpa 4.4 how?Wanaume hawana cha kutoa kwa lecturers.
Kama tunaongoza basi ni wakati wa kufuta viti maalum, upendeleo kwenye teuzi na kila mtu apambane kwa msuli wake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mafanikio gani, hawa hawa mademu tuliokuwa tunawazidi tangu darasa la kwanza hadi form six, ety wafike chuo ndio akili ije.
Hivi hao mabest students (females) ni wasichana au wanawake??Mwaka huu 2023
Udsm best student msichana
Udom best student msichana
Ardhi best student msichana
Wanawake wametisha
Kubeba mimba tuuWanawake tunaweza
KabisaaaRushwa za ngono tu
Kongore!Wanawake tunaweza
Usikute walikuwa wanaliwa na Maprofesa wao, usiamini sana mwanamke mwenye degree wengi wao ni vilaza tu, hizo degree wanapewa tu baada ya kugawa uroda na kuchezewa sana na Maprofesa vyuoniWasichana katika chuo kikuu cha Ardhi wameendelea kuibuka vinara kwa ufaulu dhidi wavulana ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo jambo lililotajwa kuleta matumaini katika usawa wa kijinsia katika elimu ya juu.
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app