Nimeshazoea wenyewe wanipige tu, bun ilikuwa inaisha jumamos cha ajabu et leo ndo wananiachia
23rdEe kwani leo ni tarehe ngap beibe
LeoMwana niaje wamekuachia lin?
Victoria secret ndo nini et ?? Maana nilikua na mpango wakumoelekea zawadi demu wangu wa chupi.. Hiyo ni shingap???mhmh sista duu gani avae mothers union za watoto? waache kuvaa Victoria secret wavae magagula ya watoto? wapeni credit vimbaombao