Unaogopaje sasa na wakati umeleta thread we vumilia tuNaogopa watanivulumishia vichambo
Hapana mkuu wala mimi sijawahig kutokea demu mwembamba na sitokuja kutokea demu mwembambaMkuu umepigwa kibuti na dem mwembamba nn. Pole na kifungo naona umerudi kwenye ID yako inayojulikana.
Mwambie akashone kwa fundi
Mbona povu zaid ya omo kwani kosa langu nini mimi si nimeleta tu aliyo nambia huyu jamaa muuzajiSasa unataka wavae nepi au pampas, acheni kuwafuatilia wanawake kila siku kuwasimanga kwani ulitaka wote wawe wanene.
[emoji51] [emoji16] [emoji119]