katika utafiti niliofanya kwa miaka 2 wasichana wengi wanaosoma hadi vyuo vikuu huwa wankuwa na umri mkubwa , wachambuaji wa wachumba hali ambayo huwafanya wavulana wengi kuwakimbia(kuwapiga chini) hivyo kuishia kupigwa mimba na kuzaa watoto wasio na baba kitu ambacho huwa ni tatizo baadaye .Ili kukabiliana na tatizo hilo wasichana wa vyuo wamegundua mtego wa kuwanasa wanaume hasa wanachuo wenzao ambao ni mimba
ipo inafanyiwa edit
Hiyo miaka miwili,kama unasoma ungetengeneza GPA ya maana na kufikiria future yako,kitaa kigumu ukiwa huna job...ooh,mfanyakazi hawezi kuongea hayo maneno.