Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
....."unasikia!"....dole langu la kati linakusalimia!Vipi ndugu mbona povu limekutoka sana kulikoni? Au we ndio yule bwana wake ambae naskia anamweka mjini? Demu anatoka na mizee huko alafu eti wewe ndo unapatiepo pa kuvaa na kula
Tulia kijana wala hawampokonyi taji kama ilivokuwa kwa mtemvu, we endelea tu kula vya wanaume wenzio sindio mlivo baadhi ya wanaume wa dar......"unasikia!"....dole langu la kati linakusalimia!
Leta vyeti....
Wazazi wa kimasai wanajua ng'ombe ni bora kuliko bintiElimu ni muhimu zaidi, wazazi wangekuwa wanawashauri hawa watoto;
hawezi kuwa miss milele.
Kama kichwa kimelala hata upelekwe shule ulaya utashindwa tu;elimu yenyewe ya ndalichako?
...acha ushoga na umbea!Tulia kijana wala hawampokonyi taji kama ilivokuwa kwa mtemvu, we endelea tu kula vya wanaume wenzio sindio mlivo baadhi ya wanaume wa dar.
Bado kidogo uanze kupanda ndege kwa offer atakazokuwa anapata baby wako maana kapanda bei, ila angalia wateja wengine waga wanakula bibi na bwana wake, kuwa mwangarifu bwana marioooo...acha ushoga na umbea!
......usinipaishe we choko;mi sif!r! m!k§nd§ kwahiyoBado kidogo uanze kupanda ndege kwa offer atakazokuwa anapata baby wako maana kapanda bei, ila angalia wateja wengine waga wanakula bibi na bwana wake, kuwa mwangarifu bwana marioooo
We mariooo kuna mtu mwingine hapo juu kahoji kuhusu matokeo, kamjibu nayeye maana we sindio msemaji wa demu wako, na kuna habari huko kinondoni jamaa wamepanga wakufumue rinda maana haiwezekani wao wahudumie alafu we ulelewe tu......usinipaishe we choko;mi sif!r! m!k§nd§ kwahiyo
..kafie mbele!
acha wauze kwanza wanaka human hairElimu ni muhimu zaidi, wazazi wangekuwa wanawashauri hawa watoto;
hawezi kuwa miss milele.
matokeo ya mwaka 2015 yaliyotoka 18/2/2016 yalitoka kwa mfumo wa namba na sio jina je wewe umejuaje kuwa ni yeye wakati haujui namba ya mitihani yake,?Mhhhh haya mashindano yamejaa uongo uongo tu, miss wetu matokeo yake yanaonesha alipata dvn 4 ya 30 alafu yeye anadai kapata dalaja la pili, na hakuna familia tanzania ambayo eti mtoto wao wa kike anafaulu alafu anakataa kwenda shule kisa umiss na wakakubali