Hapo ndiyo ujue kuwa Tanzania is a very significant country kwa Marekani, ila tulio wengi hatujui kabisa hilo. Tanzania ina ubalozi mkubwa wa Marekani kuzidi nchi zote Afrika. Ni huu mpya uliojengwa baada ya tukio la mwaka 1998 la balozi za Kenya na Tanzania.Yule ni alikua mfuasi wa Trump naona idiology ya Joe Biden kwa aliekuwepo haziendani
Kati ya mabalozi niliyowakubali sana. Jamaa hana mengi.
Ha ha ha kwa hiyo aliachia Mashehe sababu dini yake?USA wameamua kuleta "mlokole"maana sasa hv bongo inaongozwa na ndugu zetu wa upqnde wa pili.
Mashekh walikuwa na kesi za ugaidi,Mama akawaachia,lazima Uislam na uzenj wao ulichangia maana mama ni islam na mzenj pia.
Sasa hv mkristo Mbowe ana kesi ya "ugaidi"Diplomats kibao wa nchi za west wanafatilia sana kesi hii,
Mara paap,baba lao USA wanaleta Balozi "mlokole"sio coincidence hii,
Dah!Karibu Tanzania ambako kila baada ya siku 1 unajiunga na kifurushi cha wiki.
Huyu balozi mwingine amekuja juzi tu muda wake tayari umeshaisha?
Aliwahi kuishi hapa miaka ya nyuma akiwa anafanya kazi kama daktari. Kwa hiyo alikuwa ni Balozi mmarekani mtanzania. I liked him tooKati ya mabalozi niliyowakubali sana. Jamaa hana mengi.
Aisee sikufahamu hilo. Ndio maana hakuwa mtu wa shari, matukio na matamko kila leo. Ngoja tuone huyu mpya atakuwaje.Aliwahi kuishi hapa miaka ya nyuma akiwa anafanya kazi kama daktari. Kwa hiyo alikuwa ni Balozi mmarekani mtanzania. I liked him too