Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Pole; tulia dawa ikuingie
 
Unga wa chapATI UKICHANYANGA NA MATANGO sikufichi januari ikianzia mwezi wa sita mfugaji wa manyara atakua ameshabadili mbinu za mafunzo kwa kua ari na uwajibikaji wa sorenaro pale mbalizi maonesho yalifana sana japo mkuu wa mkoa wa simiyu Ndugu Kisoreka anachora vizuri sana! Tanga imeendela kuwa mkoa ambapo temeke imegawanywa mara mbili kupisha wilaya ya kigamboni,uraibu wa madawa ya kulevya mvua za palizi mkenda anakusanya taka taka kwa unyenyekevu sana!
 
Afadhali waliokuwa wanatudaganya amezaliwa na wazazi wa Jakaya sasa wanatafuta sehemu ya kujificha.
 
ndio akakubali kuwa sauti uliyosikika baada ya kudukuliwa maongezi ni ya kwake
Kukubali ni kuwavua nguo wadukuzi(Serikali) kwamba wana hofu nae na wanajamba tu huko walipo, pia ni kuwaanika kwamba wanadukua mawasiliano ambayo ni kinyume na sheria za nchi na Katiba ambayo wameapa kuilinda. Unahitaji Akili kubwa kujua move za membe
 
Hizo mbwembwe tu za kwenye makaratasi.Hafahi kuwa kiongozi mbinafsi,fisadi ,mjivuni sana pamoja na yote si mzalendo hafahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.Ukitaka kuthibitisha hilo fuatilia kote alikofanya kazi na ikiwezekana nenda jimboni kwake kahoji watu aliowaongoza kipindi chote Cha ubunge wake hawamkubali na alipoacha ubunge wake watu walifurahi na kula korosho kwa bia.CV kubwa zero kwenye utendaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…