Wasifu wa Bernard Kamilius Membe

Unapoandika 2003 hadi sasa, au 2014 hadi sasa unamaanisha bado anazishikilia nyadhifa tajwa?
 
Unatumia nguvu nyingi uwe madarakani na unajua fika kuwa hupendwi
Mti wenye matunda ndo upondwa mawe na sishangai mawazo potofu ya watanzania wachache kama wew,,
mlishakunywa damu ya upinzani kwenye chembe ya mioyo yenu na hata kama mkifanyiwa kama Yale ambayo Gadaffi aliwafanyia walibya hamtaweza kuridhika
Mmesahau hata hao wapinzani wakishika madaraka,, upinzani utaendelea kuwepo pale pale

"Alaye nyama ya binadamu ataendelea tu kuila daima"
 
"1990 – 1992: Alipata Stashada ya Uchumi, Mahusiano ya Kimataifa na Sheria za Kimataifa (Masters- Economics, International Relations and International Law)"

Hivi STASHAHADA ndio Master kwa KIINGEREZA???
Master= shahada ya uzamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…