Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

Naona kuna mashindano ya degree na la saba hapa
Hebu wenye elimu kubwa muambatanishe na acc zenu hapa
Na yeye wa la saba wekeni alichonacho
Kukariri kunawafanya wengi warande rande
Povu
Nadhani hukuwaelewa. Elimu ilivyowekwa ni mpaka darasa la saba. Hata kama ana pesa zake haiondoi fact ya darasa alilofikia na haiondoi fact kwamba hana Degree. That is the fact. Na account yake hatuna hakika ina kiasi gani, tunachojua marehemu mume wake ndiye aliyekuwa na trillion of Shillings.
 
Nimeelewa vizuri sana hoja
Ila roho za watu ndio hivyo tena na kila mtu ana maisha yake na bahati yake
 
Wale waliokuwa wanasema ni muhaya nao wanakuja na wasifu wake huyu Ntuyabhaliwe wa Manyovu!!
mazazi wake kufanya kazi Kigoma hakuomuondolei nafasi ya Kabila lake, mfano mm nikifanya kazi Mtwara, hainifanyi mimi mwanangu kuwa mmakonde
 
Sijawahi ona ma fenicha ya ovyo kama ya amorrete
 
Sijawahi ona ma fenicha ya ovyo kama ya amorrete

Halafu yeye anasema ni "high-end" kwa ajili ya weathy customers only!

Not for everybody!

Yule dada bana!

Nampendea Insta tu anapiga picha kuliko msenge yeyote TZ hii,sijui muda anaupatia wapi!
 
Halafu yeye anasema ni "high-end" kwa ajili ya weathy customers only!

Not for everybody!

Yule dada bana!

Nampendea Insta tu anapiga picha kuliko msenge yeyote TZ hii,sijui muda anaupatia wapi!

😨😨😨😨😨
 
Just give them straight with no corners. She's a gold digger plain and simple. She came out good and kudos to her. She won't cut it like other entrepreneurs as she has hasn't got the knowhow. Every time she opens her hamburger she sounds desperate for attention as if she's being victimised and typically using her kids to get her way. The Mengi's know this and the fight is not over...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…