Aisee unajua ni Karembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada alivo na mambo ya kizungu nlidhani ni msomi na degree yake..
Shule aliishia la saba au?
Yaani mtoto wa dr bingwa aishie la saba B, au sio mtoto halali wa Doctor
Dah! Sidhani aisee,nadhani cv haijakamilika.Mhhh! ina maana ndio elimu iliishia hapo tu akaenda kuimba muziki? Mhhh...
She looks like my neighbours in Rwanda (Tutsi). It's gonna be a battle in Machame.
Viva Nyakahoja primary school.
Punguza chuki , umejuaje watanzania wanamchukia ? Unaweza kutupa idadi?Huyu dada it happens atachukiwa na Watz forever from now on!
Sijui kwanini amejitahidi sana kujitutumua na Amorette and what not ila watu wanamkaushia tu!
Anapenda attention ninavyomuona ila always she will never be number one...
Amorrette was the big investiment ila sijui kwanini nobody cares or gives a shit...
Sijui kwanini anaonekana golddigger,I wonder why!
Anajitahidi sana aonekane self made entrepreneur,ila nobody gives a shit!
Its sad,limelight na power aliyokua anaitafuta sijui kwanini hakupata na hatakaa apate tena.
I really feel sorry for this over ambitions girl from Kigoma....
The ultimate gold-digger has finally hit the jackpot in the Powerball. Can you dig it?So what?
Hayo makamba kichwani si mnayaita wigs au rasta au.Hapana..mi naona ana damu ya kizungu huyu..
Hata nywele zake ni laini kama za wazungu
The ultimate gold-digger has finally hit the jackpot in the Powerball. Can you dig it?
Wivu tu na majungu hamna jipya hapa.
Sasa kwani kua golddigger kuna ubaya gani mpaka ujibu kwa hasira namna hiyo?
If you are really confident,own the shit you get....
Umepata hela sababu ya uchi then own it...be proud!
What were you expecting?Wivu tu na majungu hamna jipya hapa.
What were you expecting?