Wasifu wa kocha mkuu mpya wa taifa stars Emmanuel Amunike

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Kocha mkuu mpya wa Taifa Stars
Born : December 25,1970 ( Nigeria )
Playing Position : Winger

Amechezea timu ya Taifa lake Nigeria 1993-2001.

Baadhi ya vilabu ambavyo alishawahi kuchezea:
Zamalek 1991-1994
Sporting CP 1994-1996
Barcelona 1996-2000

Alishawahi kuwa kocha mkuu wa timu zifuatazo :
Julius Berger 2008-2009
Ocean Boys 2009-2011
Nigeria U17 2014-2017
Al Khartoum SC 2017-2018
Source (www.instagram.com/mwanaspotiapp)
 
Habari hizi ni kweli? Ila kwa ligi hii dhaifu hata akija Pep Gurdiola ni bure tu! Huyo Amunike aangalie asijechafua CV yake kama ameteuliwa kweli kuinoa timu yetu ya taifa!
 
ligi ya bongo ni amateur jamaa ana safari ndefu sana
 
Hii ndio mikakati, sio kubadili jezi au jina la timu! All the best Amunike, All the best TAIFA STARS!
 
Huyo ajiandae tu, Didier Deschamps akija kufundisha Taifa Stars na WC na gold medal yake shingoni anachafua CV yake vilevile.
 
MBONA ANAONEKANA MZEE SANA KUZIDI HATA MIAKA ALIYONAYO
 
Kocha mkuu mpya wa Taifa Stars
Born : December 25,1970 ( Nigeria )
Playing Position : Winger
Ila watu wa Afrika kaskazini huwa wana fake sana umri. Kwa anavyo onekana huyu sio wa 1970, atakua alizaliwa mid or late 60s. Anyway sio issue maana kwa kocha anaweza kufanya kazi hiyo hata akiwa na miaka 70 kama ilivyokua kwa babu Ferguson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…