Wasikieni Simba eti Yondani kafungisha

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470

Tunawasubili Mapinduzi Cup sijui nako mtakuja na lawama gani.
 
Ndio tatizo la mipira ya kibongo kama walimuona ni mtu wa kufanya makosa kila wakati walimpanga wa nini?? Kila Simba au Yanga akimfunga mwenzie lazima lawama zipelekwe kwa wachezaji kuwa walihujumu timu. Acheni hizo mambo ya kizamani hayo. Muacheni Yondani acheze mpira msitake kutafuta visingizio,mpira ni kushinda, kufungwa au kutoka sare!!! Yananiboa kishenzi...
 
Simba hawana mpya, mara wamlaumu refa na tena leo Yondani, hakuna mpya kwa mnyama, Yanga inatisha bana
 
Kwani Simba kafungwa!Mbona nilisikia tambo zao eti kundi la Yanga lilikuwa nyanya,sasa naamini hiyo nyanya ndio imekuwa chachandu ya kutafunia nyama za simba na paka.Jamani tamu,hivi sasa nina bonge la pande la paka mkononi natarajia kumpelekea mchawi mmoja anayeitwa masofasofa nae akatafune.Kwa ugumu wa kundi la simba ndio maana wote wamepigwa 2-1 na Yanga tena goli la ushindi ni dakika za mwishoooni
 
simba wakubali yaishe na wajipange kwa michezo ijayo, kufungwa na yanga isiwachanganye
 
mnyama bana anachekesha sana, badala ya kuilaumu yanga kwa kuifunga
wao wanambana yondani!
 
Siku ya kufa mbwa pua zote zinaziba....
Yondani, kaseja, mgosi na wengine pua zao ziliziba
 
mpira wetu bongo unapelekwa na kamati za ufundi watu wameenda kuangalizia wamegundua kuwa jamaa kafungisha. na nimesikia mganga wao pia wamemtimua.nyie simba acheni mipira ya miaka ya 47 kabumbu halipigwi hivyo wazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…