Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hao matajiri si wamepewa mamlaka kikatiba?Wanasema hatuna ahadi ya utii kwa tajiri Trump wala Elon Musk, bali Serikali ya America.
Trump ndiye serikali ya America.Wanasema hatuna ahadi ya utii kwa tajiri Trump wala Elon Musk, bali Serikali ya America.
Elon Musk ameingia choo cha kike. Itabidi aikimbie nchi baada ya utawala wa Trump. Otherwise, he will pay a high price!Wanasema hatuna ahadi ya utii kwa tajiri Trump wala Elon Musk, bali Serikali ya America.
Nimesema, sina uswahiba na Mbowe hata kidogo. Nasema behavior ya Lisu kwenye kampeni, siwezi kuwa mfuasi wa mtu kama huyo! Siwezi kuongozwa na mtu kama huyo. SAWA NA CCM, SIWEZI KUUNGA MKONO ccm NA VIONGOZI WAKE, SIWEZI KATU! MAANA WAO NI MASHETANI, SIWEZI KUUNGANA NA SHETANI!Mbona wewe unamtii Mbowe badala ya Chadema? 🐼
Wewe ni team Mbowe maana yake unaiunga mkono Chama Dume utake usitake 🐼Nimesema, sina uswahiba na Mbowe hata kidogo. Nasema behavior ya Lisu kwenye kampeni, siwezi kuwa mfuasi wa mtu kama huyo! Siwezi kuongozwa na mtu kama huyo. SAWA NA CCM, SIWEZI KUUNGA MKONO ccm NA VIONGOZI WAKE, SIWEZI KATU! MAANA WAO NI MASHETANI, SIWEZI KUUNGANA NA SHETANI!
LISU WAS MY NO.1 FAVORITE POLITICIAN!