Wana jukwaa la elimu habari zenu. Leo katika pitapita yangu katika shule fulani ya sekondari jijini Dar-es-salaam nimekutana na wafunzi saa kumi na mbili wakiwa katika harakati za kupeana majibu. Nilichokigundua ni baada ya kumalizika kwa somo la uraia(civics) ni kuwa baadhi ya maswali walikuwa wanadiscuss ndiyo yaliyotokea kwenye mtihani wa civics. Ombi langu kwa serikali kupitia wizara ya elimu kuweni makini tusije tukazalisha wahitimu bora wasiokuwa na weledi katika taifa hili.
Watu bwana ...! Sasa kama imevuja izibe basi.
Hahaha.. jamaa anazingua... inawezekana yeye kasota sana.... sikuhizi mteremko bwana