Wasimamizi wa mtihani wa Mock 4m 2 wamelipwa 3600 siku

Mr Mayunga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
313
Reaction score
40
Huku Rufiji ni swala lakusikitisha sana,eti viongozi ambao pia baadhi yao ni wakuu wamashule wanakaa nakukubaliana kuwa msimamizi alipwe 18000 na msimamizi mkuu ni20000 kwa wiki.Hivi tunakwenda wapi sisi walimu,chakusikitisha zaidi wasimamizi wakuu wameandika ripoti lakini wengiwao hawajashauri hata malipo yaongezwe.Walimu tutakomboka kweli,au ni manyanyaso tu.
 
Kwa hiyo sisi tufanyaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…