Wasio na ajira kulipwa zaidi ya shilingi milioni moja kila mwezi

khomgodlove

Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
33
Reaction score
22
Nchi ya finland imeanza kujaribu wazo la kulipa ama kuwapa hela kila mwezi watu wasio na ajira kama motisha waweze kutafuta kazi ,world economic forum wanasema ndo nchi ya kwanza ulaya kujaribu mfumo huo...zaidi bonyeza link

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha Mkuu Ungeanza na kuandika Finland... then hayo maelezo kwenye heading yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…