Wasiojulikana Mikononi mwa Dkt. Christopher na Kilawa

Wasiojulikana Mikononi mwa Dkt. Christopher na Kilawa

Malcom Sr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2021
Posts
1,163
Reaction score
1,647
Wakuu ..

Tukubaliane tu bila kupepesa macho.

Ukweli mchungu hii Miamba miwili Dr@Christopher Cylilo na Kaka mkubwa kilawa Shindo wameishi maisha ya sekeseke Sana kipindi Cha Awamu ya 5.

Huwa kila nikikumbuka Hawa jamaa walivyopambana na wasiojulikana wanaojulikana huwa nacheka Sana.

Shikashika ya Hawa jamaa ilikuwa ya ajabu Sana ...ilikuwa haichelewi Mara unasikia tu Dr Christopher yupo Central na makosa yake haajulikani.

Ila Kaka mkubwa Kilawa Shindo alienda akanyoosha mikono..Sasa ikawa kila baada ya muda tunasikia Bring Back Dr Cylilo.

Mara hatujapoa tu tunasikia Tena Dr Cylilo kakamatwa akitoka kazini Kwake.

Kuna muda nikawa najiuliza hivi Hawa jamaa kwa kushikwa kule hivi vibarua vyao vilikuwa vinaponaje.

Mtu anatoka kazini Kwake kuelekea kujipumzisha nyumbani halafu unajikuta unapumzikia Central asubuhi unaamkia Job.

Hakika Hawa jamaa wamenionyesha upambanaji uliotukuka

Hongereni kwa kupita salama katika Zama za Giza..
 
Katiba mpya muhimu mtu uakurupuka tu kileta uzi wahusika hawajulikani kabisa
 
Wakuu ..

Tukubaliane tu bila kupepesa macho....

Ukweli mchungu hii Miamba miwili Dr@Christopher Cylilo na Kaka mkubwa kilawa Shindo wameishi maisha ya sekeseke Sana kipindi Cha Awamu ya 5..

Huwa kila nikikumbuka Hawa jamaa walivyopambana na wasiojulikana wanaojulikana huwa nacheka Sana.

Shikashika ya Hawa jamaa ilikuwa ya ajabu Sana ...ilikuwa haichelewi Mara unasikia tu Dr Christopher yupo Central na makosa yake haajulikani....

Ila Kaka mkubwa Kilawa Shindo alienda akanyoosha mikono..Sasa ikawa kila baada ya muda tunasikia Bring Back Dr Cylilo..

Mara hatujapoa tu tunasikia Tena Dr Cylilo kakamatwa akitoka kazini Kwake.

Kuna muda nikawa najiuliza hivi Hawa jamaa kwa kushikwa kule hivi vibarua vyao vilikuwa vinaponaje...
Mtu anatoka kazini Kwake kuelekea kujipumzisha nyumbani halafu unajikuta unapumzikia Central asubuhi unaamkia Job..

Hakika Hawa jamaa wamenionyesha upambanaji uliotukuka ..
Hongereni kwa kupita salama katika Zama za Giza..
Hili sio group la Whatsapp
 
Wakuu ..

Tukubaliane tu bila kupepesa macho....

Ukweli mchungu hii Miamba miwili Dr@Christopher Cylilo na Kaka mkubwa kilawa Shindo wameishi maisha ya sekeseke Sana kipindi Cha Awamu ya 5..

Huwa kila nikikumbuka Hawa jamaa walivyopambana na wasiojulikana wanaojulikana huwa nacheka Sana.

Shikashika ya Hawa jamaa ilikuwa ya ajabu Sana ...ilikuwa haichelewi Mara unasikia tu Dr Christopher yupo Central na makosa yake haajulikani....

Ila Kaka mkubwa Kilawa Shindo alienda akanyoosha mikono..Sasa ikawa kila baada ya muda tunasikia Bring Back Dr Cylilo..

Mara hatujapoa tu tunasikia Tena Dr Cylilo kakamatwa akitoka kazini Kwake.

Kuna muda nikawa najiuliza hivi Hawa jamaa kwa kushikwa kule hivi vibarua vyao vilikuwa vinaponaje...
Mtu anatoka kazini Kwake kuelekea kujipumzisha nyumbani halafu unajikuta unapumzikia Central asubuhi unaamkia Job..

Hakika Hawa jamaa wamenionyesha upambanaji uliotukuka ..
Hongereni kwa kupita salama katika Zama za Giza..
Hao ndo wakina nani sasa!
 
Hapana Mkuu Mimi siwajui in deep ila nilikuwa nazipata info zao humuhumu

Humuhumu wapi wewe!.
Mnapenda sana recognitions,mlidhani mnatekeleza wajibu mkubwa kupambana na jiwe,kafa na nyie mmekosa agenda.
Hamna mwenye maajabu kati yenu.
 
Humuhumu wapi wewe!.
Mnapenda sana recognitions,mlidhani mnatekeleza wajibu mkubwa kupambana na jiwe,kafa na nyie mmekosa agenda.
Hamna mwenye maajabu kati yenu.
Acha kupanic bro Mimi na wewe hatujafika level za hao wapambanaji wajanja wa mjini
 
Kwahiyo shindo kilawa alinyooshaje mikono alirudi ccm au bado Yuko na misimamo yake?
 
Hao Ni wajanja wa mjini bro ,,Kama huwajui hao Basi utakuwa unaishi Tanzania vijijini huko
Nikiwajua inanisaidia nini mi nmezaliwa Kariakoo,primary Mnazi Mmoja sekondary Forodhani chuo IFM ila siwajui hao shitholes
 
Back
Top Bottom