katika kesi inayoendeleea kuhusu shutuma ya ugaidi na mengine, kila siku tunazidi kufahamu mambo mengi na zaidi!
kesi hii imetusaidia kujua
: Muongoza wa polisi PGO
: Wasiojulikana
: Ubambikaji wa kesi
: Ubabe unaofanywa na tawala au watu tawala
: Mapungufu ya utawala na kuzima wanaharakati
katika kitu ambacho kinazidi kuwa fumbua watu kuanzia kesi ya leo tarehe 28-9-2021.
kuna watu ambao wanadaiwa kutishiwa kupotezwa na wengine kutojulikana japo wanatajwa ila hawapo tena !
je ni kweli matukio yote ya kupotewa watu tuliowafahamu !
ndio kichwa cha habari kinavo sema !