Wasiokufahamu wakikudhuru jua wamepangwa na wanaokufahamu vizuri

Wasiokufahamu wakikudhuru jua wamepangwa na wanaokufahamu vizuri

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Asiyekujua hana mpango na wewe labda tu awe kibaka wa kukwapua mmekutana njiani ila wenye njama mbaya na wewe ni wale wanaokufahamu vizuri .


Wanaokuombea mabaya wanakujua vizuri ni ngumu mtu asiyekujua ghafla tu aanze kutamani upatwe na mabaya .

Wanaotamani siku moja uaibike ni watu wa karibu yako hao ndio wanajua kipi hasa hawapendi kutoka kwako .

NINI MAANA YAKE?

JIHADHARI ZAIDI DHIDI YA WATU MNAOFAHAMIANA KUKIKO WALE MSIOFAHAMIANA KWA SABABU WANAOKUFAHAMU NDIO WASUKA MIPANGO NA WATEKELEZAJI NI AMBAO HUWAFAHAMU( WAMEPANGWA)

#Mwanasayansi Saul kalivubha.
#Mitandaoni kwa jina la Fikia Ndoto Zako.
 
WASIOKUFAHAMU WAKIKUDHURU JUA WAMEPANGWA NA WANAOKUFAHAMU VIZURI

Asiyekujua hana mpango na wewe labda tu awe kibaka wa kukwapua mmekutana njiani ila wenye njama mbaya na wewe ni wale wanaokufahamu vizuri .


Wanaokuombea mabaya wanakujua vizuri ni ngumu mtu asiyekujua ghafla tu aanze kutamani upatwe na mabaya .

Wanaotamani siku moja uaibike ni watu wa karibu yako hao ndio wanajua kipi hasa hawapendi kutoka kwako .

NINI MAANA YAKE?

JIHADHARI ZAIDI DHIDI YA WATU MNAOFAHAMIANA KUKIKO WALE MSIOFAHAMIANA KWA SABABU WANAOKUFAHAMU NDIO WASUKA MIPANGO NA WATEKELEZAJI NI AMBAO HUWAFAHAMU( WAMEPANGWA)

#Mwanasayansi Saul kalivubha.
#Mitandaoni kwa jina la Fikia Ndoto Zako.
Umenena mkuu.
 
Asiyekujua hana mpango na wewe labda tu awe kibaka wa kukwapua mmekutana njiani ila wenye njama mbaya na wewe ni wale wanaokufahamu vizuri .


Wanaokuombea mabaya wanakujua vizuri ni ngumu mtu asiyekujua ghafla tu aanze kutamani upatwe na mabaya .

Wanaotamani siku moja uaibike ni watu wa karibu yako hao ndio wanajua kipi hasa hawapendi kutoka kwako .

NINI MAANA YAKE?

JIHADHARI ZAIDI DHIDI YA WATU MNAOFAHAMIANA KUKIKO WALE MSIOFAHAMIANA KWA SABABU WANAOKUFAHAMU NDIO WASUKA MIPANGO NA WATEKELEZAJI NI AMBAO HUWAFAHAMU( WAMEPANGWA)

#Mwanasayansi Saul kalivubha.
#Mitandaoni kwa jina la Fikia Ndoto Zako.
So tuogope tukwepe kujuana ? Ukiniuwa unafaidikaje. Taifa likiamka kujitetea hayatatokea maafa ? Kwa nini tufike huko ? Tuna maendeleo gani makubwa tunayoyagombania ?
 
So tuogope tukwepe kujuana ? Ukiniuwa unafaidikaje. Taifa likiamka kujitetea hayatatokea maafa ? Kwa nini tufike huko ? Tuna maendeleo gani makubwa tunayoyagombania ?
Hapana kama jamii halikwepeki ila tahadhari muhimu maana kati ya tunoajuana naop wengine si wema
 
Back
Top Bottom