Tuwe wawazi, tena kIroho safi tu.
Kupigania haki dhidi ya serikali za kiafrika si kazi ndogo:
Mtanzania gani mwenye kuwa na uhalali (moral authority) wa kumbeza Odinga kwenye harakati za huko kwao?
Nisiwachoshe, tusichoshane.
"Katiba mpya tunayoitaka ya kupewa mezani haipo. Asiyekuwa tayari kuipigania na akae kimya tu."
Hao ndugu wanatupotezea muda bure.
Kupigania haki dhidi ya serikali za kiafrika si kazi ndogo:
Mtanzania gani mwenye kuwa na uhalali (moral authority) wa kumbeza Odinga kwenye harakati za huko kwao?
Nisiwachoshe, tusichoshane.
"Katiba mpya tunayoitaka ya kupewa mezani haipo. Asiyekuwa tayari kuipigania na akae kimya tu."
Hao ndugu wanatupotezea muda bure.