Pre GE2025 Wasiolalamika kukatika umeme wazawadiwa baiskeli na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna jamii hapa Bongo bado ipo zama za mawe.......
 
Usikute hao ni wazazi watoto wanaamini baba na mama wapo njema kichwani. Ila ni?
 
πŸ˜†. Daaah acha nitulie tu.
 
KhaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bongo kikubwa uhai

Malaika wakiwa wanaangalia Channel Tanzania, huwa wanavunjika mbavu sana. Hasa hasa Gabriel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…