Jamani kama jina la mtu halipo kabisa kwenye website ya bodi inamaanisha nini?kanyimwa mkopo au hata kama umenyimwa mkopo jina lako litakuwepo na litaaondikwa no loan?naomba ufafanuzi wajumbe
Jamani kama jina la mtu halipo kabisa kwenye website ya bodi inamaanisha nini?kanyimwa mkopo au hata kama umenyimwa mkopo jina lako litakuwepo na litaaondikwa no loan?naomba ufafanuzi wajumbe