Wasipokuwa makini kwa hili nchi itajigawa kimakundi

Wasipokuwa makini kwa hili nchi itajigawa kimakundi

mchawi wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
830
Reaction score
898
Habari Jr,

Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.

Pia soma: GOLI LA MAMA: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF
 
Mamipira hata haya faida sana kwenye nchi, hakuna mtu anaweza kujigawa kwa sababu ya hizo Simba na Yanga.
 
mm nadhan kuna vitu tungevipa kipaumbele kuliko vingne yaan serikal inalipia mashabik wa club hii si sawa.....alafu hupa pwan kuna wanafunzi nusi ya shule wanakaa chini mmmh
Mambo ya ajabu sana
 
Hata mpaka Sasa nchi nchi tayari ipo katika makundi...

Kuna CCM A na CCM B

Nasubiri mechi ianze 2025...

Ajabu ni kuwa kijani kuzichapa na kijani mwenzie...

Mmoja atachukua nchi..

NB: Sipendi siasa
 
Habari Jr

Hoja ni fupi mno simba sc wanasafiri kesho alafujiri na inaondoka na mashabiki 17,hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Acheni ujinga nyie mashabiki wa mipira Yani nchi ijigawe sababu ya simba na yanga mmekuwa mapunguani nakusahau mambo ya msingi nchi hii inamatizo mengi sana katiba mpya,tume mpya ya uchaguzi na ajira kwa vijana
 
Habari Jr

Hoja ni fupi mno simba sc wanasafiri kesho alafujiri na inaondoka na mashabiki 17,hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Asee mwarabu figter kimoja chake cha mkwezi katuachia msala wa wamama wengi wajawazito bongo kazi Yao ni kutematema tu na kulalamika kwenye hakuna.
 
Inafikirisha kuona watu wanaojisifia eti wao ni wenye nchi na siyo wananchi kama Yanga wakianza kulia lia, kisa tu mashabiki wa timu ya upande wa pili wamegharamiwa na serikali baada ya kujiongeza na kuomba msaada!

Na nyinyi si mngeomba kama walivyofanya wenzenu! Au mlitaka kusaidiwa pasipo kuomba? Acheni kulilia vitu vidogo aisee! Mjue nyinyi ni watu wazima!!
 
Safi sana wawagawe tu labda akili zitawakaa sawa.

Huko simba na yanga ndiko ccm inazidi kuwekeza mang'ombe kibao ya mtaji wa kushikilia nchi miaka dahari.

Mnapewa mamilioni ya fedha kununua magoli, wakati mtaani kuna watu hawajui lini wataweza kula kwa uhakika at least mlo mmoja kwa siku, na mpo tu mkishangilia bila kuhoji hao matajiri wenu wakiongezewa noti kwa kodi zetu bila umuhimu wowote!

Na wawagawe na kuwazidisha, wawajumlishe na kuwatoa kama magazijuto hadi akili ziwakae sawa.
 
Habari Jr

Hoja ni fupi mno simba sc wanasafiri kesho alafujiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.

Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.

Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.

Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Hata mimi nimeona hili
 
Funguka tu nyoosha rula.

Mashabiki wa Simba wataiona serikali ya CCM ni umbwa,takataka,kinyesi.mashabiki wa Simba watasapoti vyama vya upinzani.

serikali ya CCM ibaki na Yanga yake.upinzani wabaki na Simba yao.ni hivyo tu.
 
Back
Top Bottom