mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Habari Jr,
Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.
Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.
Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.
Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Pia soma: GOLI LA MAMA: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF
Hoja ni fupi mno Simba sc wanasafiri kesho alfajiri na inaondoka na mashabiki 17, hawa mashabiki wanaenda kujilipia wenyewe kila kitu.
Serikali muwe seriously na hii kitu mnaingiza siasa kwenye mpira,mashabiki wengi wa mpira hususani mashabiki wa Simba wameumia kitendo cha kumpendelea mmoja.
Mwisho msipokuwa makini mpira kuupeleka kwenye siasa mnaenda kugawa mashabiki kupitia Serikali.
Fikra zangu huwa zinaona mbali kama nilivyoona mh Paul makonda kuwa raisi 2030.
Pia soma: GOLI LA MAMA: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF