Wasira afika nyumba kwa marehemu Sarungi kutoa salamu za pole

Wasira afika nyumba kwa marehemu Sarungi kutoa salamu za pole

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amefika nyumbani kwa aliyekuwa waziri wa zamani na mbunge wa Rorya, Profesa Phelemon Sarungi (89) kutoa salamu za pole.

Profesa Sarungi alifariki dunia nyumbani kwake Oysterbay, jijini Dar es Salaam jana Jumatano, Machi 5, 2025 kwa tatizo la moyo.

Soma Pia:
Wasira amefika nyumbani hapo leo Alhamisi, Machi 6, 2025 na kusalimiana na waombolezaji wakiwemo wanafamilia.

 
Maria a.k.a muheshimiwa spika wa X hajaanzisha space kuongelea hilo suala?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amefika nyumbani kwa aliyekuwa waziri wa zamani na mbunge wa Rorya, Profesa Phelemon Sarungi (89) kutoa salamu za pole.

Profesa Sarungi alifariki dunia nyumbani kwake Oysterbay, jijini Dar es Salaam jana Jumatano, Machi 5, 2025 kwa tatizo la moyo.

Soma Pia:
Wasira amefika nyumbani hapo leo Alhamisi, Machi 6, 2025 na kusalimiana na waombolezaji wakiwemo wanafamilia.

Sasa uyu mzee naye alienda kufanya nini? Mpaka sasa sijaona salam za pole kutoka serikalin
 
Back
Top Bottom