Pre GE2025 Wasira aionya CCM kutosikiliza matatizo ya wananchi "Hata muimbe vipi kama hamsikilizi matatizo ya watu haitasaidia"

Pre GE2025 Wasira aionya CCM kutosikiliza matatizo ya wananchi "Hata muimbe vipi kama hamsikilizi matatizo ya watu haitasaidia"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
Hili nalo limeshajivunjia heshima kwa kusema sema ovyo lipuuzwe tu
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
Kwani hata sasa matatizo ya wananchi yanasikilizwa na ccm?
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
Siitu yasikilizwe,ila yatatuliwe kwa ukweli na majibu ya matatizo yaonekane kweli,na sii kwa hadaa za vipindi vya uchaguzi.
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Mzee Stephen Masato Wasira amewaonya viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa kama matatizo yanayowakabili wananchi hayazungumzwi na kutafutiwa ufumbuzi wananchi wakatosa imani na CCM kuendelea kuwaongoza.

Mzee Wassira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa CCM katika Wilaya ya Rorya mkoani Mara na kusisitiza kuwa.

“Sisi ni Chama Cha Mapinduzi, kazi yetu ni kusikiliza kero za watu, mnaweza tukacheza ngoma, lakini kama matatizo ya watu hayazungumzwi na hayatafutiwi ufumbuzi watu watakuwa hawana hakika kama Chama hiki kinashughulika na matatizo yao.
Bado anazurula huyo babu?
 
Back
Top Bottom