Wasira ana cheo gani serikalini?

Ingekuwa weww umepata chance ungeacha?

Kwenye Siasa hakuna kustaafu ...

Nashangaa watu wanaopigania ukomo wa siasa kama vile wanapewa pension...

Ukiwa pensionable kwenye siasa ndio una staafu ... Hizo nyingine ni porojo

Wasira kuna kipindi alikuwa coordinator wa mawaziri kipindi cha JK,

Sasaivi ni masta of all, anacheka na wowote

Mzee wasira tupe maneno ๐Ÿ˜…
 
Najiuliza ana data sahihi kuhusu masuala ya umeme?
 
Enzi za nyerere YUPO
Enzi za Mwinyi YUPO
kaja mzee mkapa YUPO
Mkapa kampisha mzee kikwetee YUPOOO
Kaja Mzee Magufuli YUPOOOOO
Na sasa hivi na Mama Samia YUUUUUPPOOOO
MZEE WASSIRA HOYEEEEE
 
Hata kama, ndio afafanue mikakati ya TANESCO kwani yeye ni MD?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ