Pre GE2025 Wasira apewa jina lenye asili ya kigogo lenye maana ya jemedari wa vita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mwenyekiti wa machifu mkoa wa Dodoma amesema wamempa jina la "Marugu" Makamu mwneyekiti wa CCM bara Stephen Wasira likiwa na maana ya Jemedari ama mpambanaji wa vita, aidha amesema wanamshukuru Chief Hangaya ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Wasira kuwa makamu mwenyekiti.
Your browser is not able to display this video.

Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wangemwita tu king kong lingemfaa sana
 
Katika kumbukumbu zangu hajawahi fanya chochote katika nchi hii hata cha kumfanya aongee mbele ya hadhara,,,, zaidi nakumbuka skendo ya Mbolea na Mbegu akiwa Waziri wa Kilimo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…