Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 422
- 489
huyo mama mbona kama anataka kukimbia anaogopa niniοΌWASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
View attachment 3243227
Wee MUONGO! Mama wa watu katulizana anapokea madini adhimu toka kwa makamu mwenyekiti wa chama wewe eti anataka kukimbia! Angekuwa anataka kukimbia si hiyo handbag yake ingekuwa angalau kaishika mikononi?!huyo mama mbona kama anataka kukimbia anaogopa niniοΌ
Wawapambanie mna kipi cha kuwapa.....labda angekua babu Biden angelazimisha muwalipe kwa marinda yenu ila Trump hana hizo habari.......Ukraine walitegemea kitonga sahivi vichwa vinauma......mzungu hakusaidii kama huna cha maana kwake na yeye afaidike, sasa huku wanajua hata wakiweka nguvu zao watu wenyewe wanaotaka kupewa boost ni ma keyboard warriors tu itakua kazi bureKorea ipi?.
Kama ni Kusini Kwa lengo la Miradi , wakorea ni wamarekani, Tume huru ya uchaguzi .
well done ndugu vice chairman πͺπWASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
View attachment 3243227
π π π π πμμ λ‘κ³ κ³΅μ ν μ κ±°κ° μμ κ²μ λλ€. κ·Έλμ μ°λ¦¬λ λΉμ μ μ§μμ μμ²ν©λλ€
alisema Stephan Wassira
Inamana huyu mzee yupo fresh ki akili kuliko Lucas Mwasambwanda hadi akamkoseshe teuzi ukifikilia swagger na mijingambo yake yakumpigapiga brush Samia kila dakika??WASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
View attachment 3243227
WASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
View attachment 3243227
Asije akalala tu in due courseWASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.
View attachment 3243227