Pre GE2025 Wasira: CHADEMA hawakufanya kampeni, halafu wanadai wameibiwa kura

Pre GE2025 Wasira: CHADEMA hawakufanya kampeni, halafu wanadai wameibiwa kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amepinga vikali madai ya vyama vya upinzani kuhusu wizi wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa, amesema vyama hivyo, hususan Chadema, vimedai kuwa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu uliowanyima ushindi wagombea wao.

Hata hivyo, Wasira amekanusha tuhuma hizo akisema kuwa Chadema hakikuwa na wagombea na hawakufanya kampeni katika maeneo mengi, hivyo haiwezekani kudai waliibiwa kura.
 
Hili zee chovu lipuuzwe linachoweza ni kusinzia na kujamba tu
 

Attachments

  • FB_IMG_1738771860075.jpg
    FB_IMG_1738771860075.jpg
    12.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 3
  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 3
Hili zee chovu lipuuzwe linachoweza ni kusinzia na kujamba tu
Zamani Wassira aliandikwa vibaya na gazeti la HEKO basi alienda ofisi ya gazeti hilo na kumchapa makonde mazito mhariri wake akapachikwa jina la Tyson
Kwa picha hizo ole wako asijue wewe ni nani.🤣😂
 
Kwa umri wake mzee huyu ilikuwa ni busara kupumzika na kisha kubaki mshauri wa viongozi wa chama.Hiyo ingemfaa zaidi kuliko uamuzi wa kukubali majukumu.Walioomba kupumzika ni kwa nia ya kulinda heshima zao.Warumi husema 'flavus et barba non facit philosophum' wakimaanisha:kipara na wingi wa ndevu si kipimo cha hekima.
 
..Mzee Wassira sidhani kama anaamini ktk 4R za Mama Samia.

..kwa ujumla Mzee Wassira hana msaada kwa Raisi, chama, na hata nchi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amepinga vikali madai ya vyama vya upinzani kuhusu wizi wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa, amesema vyama hivyo, hususan Chadema, vimedai kuwa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu uliowanyima ushindi wagombea wao.

Hata hivyo, Wasira amekanusha tuhuma hizo akisema kuwa Chadema hakikuwa na wagombea na hawakufanya kampeni katika maeneo mengi, hivyo haiwezekani kudai waliibiwa kura.
View attachment 3226972
Muda mwingi kichwa chake anakuwa amekiegemeza kwenye tumbo lake, sada ile harufu ya ndani ya utumbo ndiyo humpelekea aongee hayo
 
Zamani Wassira aliandikwa vibaya na gazeti la HEKO basi alienda ofisi ya gazeti hilo na kumchapa makonde mazito mhariri wake akapachikwa jina la Tyson
Kwa picha hizo ole wako asijue wewe ni nani.🤣😂
Kwa sasa hivi akirusha konde ukilikwepa akianguka haamki tena atakuja kuzindukia ICU 🤣😄
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amepinga vikali madai ya vyama vya upinzani kuhusu wizi wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa, amesema vyama hivyo, hususan Chadema, vimedai kuwa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu uliowanyima ushindi wagombea wao.

Hata hivyo, Wasira amekanusha tuhuma hizo akisema kuwa Chadema hakikuwa na wagombea na hawakufanya kampeni katika maeneo mengi, hivyo haiwezekani kudai waliibiwa kura.
View attachment 3226972
Aaaarghhhhhh!!!!! Nimepata na hasira sana.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amepinga vikali madai ya vyama vya upinzani kuhusu wizi wa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa, amesema vyama hivyo, hususan Chadema, vimedai kuwa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu uliowanyima ushindi wagombea wao.

Hata hivyo, Wasira amekanusha tuhuma hizo akisema kuwa Chadema hakikuwa na wagombea na hawakufanya kampeni katika maeneo mengi, hivyo haiwezekani kudai waliibiwa kura.
View attachment 3226972
Bora tu Tundu Lissu akinukishe tujue Moja.
 
Back
Top Bottom