Pre GE2025 Wasira: Vibaraka wao wa nje ya Tanzania wanataka kutuletea Ushoga, adai wameshindwa kutuondoa wanataka kutuua

Pre GE2025 Wasira: Vibaraka wao wa nje ya Tanzania wanataka kutuletea Ushoga, adai wameshindwa kutuondoa wanataka kutuua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, akizungumza katika Kongamano la Wanawake lililofanyika jijini Dodoma leo, Februari 4 amedai "Siku hizi wako watu nje ya Tanzania, na wana Vibaraka ndani ya Tanzania ambao wanasema CCM mmekaa sana madarakani. Na mimi nawauliza tulipodai uhuru kwanza mlikuwa wapi? na nani ambaye ulisaini naye mkataba kwamba tukijitawala tutakuwepo kwa muda fulani, nani aliwaambia?"

"Sisi tunaongoza dola kwa idhini ya Watanzania na Watanzania wakituendelea kutuamini tutaendelea kuongoza dola na mtu yeyote asituulize kwanini tunaendelea kuwepo, wanasema mambo ya ajabu na wengine ni vibaraka wakubwa wakwenda kutuletea utamaduni usioeleweka wanasema Wanawake waoane kwa Wanawake na Wanaume waoane kwa Wanaume, hayo mambo ya Ushoga wapi na Mungu aliumba watu tofauti kwa kazi tofauti"

"Ndio maana Rais Museveni aliwaambia wakubwa wa Ushoga, kwamba akikuta mashoga atawafungia jela na atawatoa endapo mwanaume mmoja atapata mimba..."


Soma, Pia: Wasira: Mabeberu na Vibaraka wao wanataka kuleta Ushoga
 
Huyu Mzee kazeeka vibaya sana, ushahidi wa hayo anayosema uko wapi? Ni nani atakayependa Tigo/Yas ya huyu mzee? Pigeni kura, vinginevyo ni siasa za maji taka tu kama za Kagame kusema kwamba hajui kama askari wake wako kongo au la.
 
Kwenye matamasha yenu ya chama mashg kibaoo wanahudhuria a mnajumuika nao

Ova
 
Picha yake ya utotoni hiyo
 

Attachments

  • FB_IMG_1738421874362.jpg
    FB_IMG_1738421874362.jpg
    65.4 KB · Views: 4
Huko wsf fm media yenye pendwa wamejaaa kibaooo...vp washawahi kuwaweka chini 😄

Ova
Hawa watu ni wanafiki kweli kweli. Anajua watanzania wengi ni wajinga na akisema hivyo watamwamini. Siasa za kizamani kweli kweli hizi.
 
Wakuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, akizungumza katika Kongamano la Wanawake lililofanyika jijini Dodoma leo, Februari 4 amedai "Siku hizi wako watu nje ya Tanzania, na wana Vibaraka ndani ya Tanzania ambao wanasema CCM mmekaa sana madarakani. Na mimi nawauliza tulipodai uhuru kwanza mlikuwa wapi? na nani ambaye ulisaini naye mkataba kwamba tukijitawala tutakuwepo kwa muda fulani, nani aliwaambia?"

"Sisi tunaongoza dola kwa idhini ya Watanzania na Watanzania wakituendelea kutuamini tutaendelea kuongoza dola na mtu yeyote asituulize kwanini tunaendelea kuwepo, wanasema mambo ya ajabu na wengine ni vibaraka wakubwa wakwenda kutuletea utamaduni usioeleweka wanasema Wanawake waoane kwa Wanawake na Wanaume waoane kwa Wanaume, hayo mambo ya Ushoga wapi na Mungu aliumba watu tofauti kwa kazi tofauti"

"Ndio maana Rais Museveni aliwaambia wakubwa wa Ushoga, kwamba akikuta mashoga atawafungia jela na atawatoa endapo mwanaume mmoja atapata mimba..."


Soma, Pia: Wasira: Mabeberu na Vibaraka wao wanataka kuleta Ushoga
Usikute lenyewe hili zee ni shoga wazee wenzake wanalibokoa
 
Hoja za wasira ni nzuri.

Ila kuingiza hayo mambo mengine ndio kaharibu.

Amedhihirisha ukongwe wake.
 
Huyu Mzee hana hata mvuto na vihoja vyake vilivyochuja zamani, mambo yote Lissu tu hoja zake huwa ni 💥🔥
 
Wakuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, akizungumza katika Kongamano la Wanawake lililofanyika jijini Dodoma leo, Februari 4 amedai "Siku hizi wako watu nje ya Tanzania, na wana Vibaraka ndani ya Tanzania ambao wanasema CCM mmekaa sana madarakani. Na mimi nawauliza tulipodai uhuru kwanza mlikuwa wapi? na nani ambaye ulisaini naye mkataba kwamba tukijitawala tutakuwepo kwa muda fulani, nani aliwaambia?"

"Sisi tunaongoza dola kwa idhini ya Watanzania na Watanzania wakituendelea kutuamini tutaendelea kuongoza dola na mtu yeyote asituulize kwanini tunaendelea kuwepo, wanasema mambo ya ajabu na wengine ni vibaraka wakubwa wakwenda kutuletea utamaduni usioeleweka wanasema Wanawake waoane kwa Wanawake na Wanaume waoane kwa Wanaume, hayo mambo ya Ushoga wapi na Mungu aliumba watu tofauti kwa kazi tofauti"

"Ndio maana Rais Museveni aliwaambia wakubwa wa Ushoga, kwamba akikuta mashoga atawafungia jela na atawatoa endapo mwanaume mmoja atapata mimba..."


Soma, Pia: Wasira: Mabeberu na Vibaraka wao wanataka kuleta Ushoga
Anadhani hiyo kwa sasa ni fimbo! Kumbe kweli uzee ni mbaya,umekosa jipya hilo kabla TL hajapigwa risasi bado wewe unaona ni fimbo inayofaa kumchapia! Pole.
Kila mtu anaujua ukweli TL siyo shoga na siyo muumini w ushoga ila ni muuumini wa haki za binadamu,kitu ambacho hiyo serikalini unayoipigania imesaini kulinda haki hizo ukiwmo ushoga. Kama huutaki ushoga jiuzuru leo kwa kuwa serikali ya chama chako imesainia tamko la kuwalinda mashoga, vinginevyo na wewe ni shoga tu. Umeayataka mwenyewe yapokee
 
Wakuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, akizungumza katika Kongamano la Wanawake lililofanyika jijini Dodoma leo, Februari 4 amedai "Siku hizi wako watu nje ya Tanzania, na wana Vibaraka ndani ya Tanzania ambao wanasema CCM mmekaa sana madarakani. Na mimi nawauliza tulipodai uhuru kwanza mlikuwa wapi? na nani ambaye ulisaini naye mkataba kwamba tukijitawala tutakuwepo kwa muda fulani, nani aliwaambia?"

"Sisi tunaongoza dola kwa idhini ya Watanzania na Watanzania wakituendelea kutuamini tutaendelea kuongoza dola na mtu yeyote asituulize kwanini tunaendelea kuwepo, wanasema mambo ya ajabu na wengine ni vibaraka wakubwa wakwenda kutuletea utamaduni usioeleweka wanasema Wanawake waoane kwa Wanawake na Wanaume waoane kwa Wanaume, hayo mambo ya Ushoga wapi na Mungu aliumba watu tofauti kwa kazi tofauti"

"Ndio maana Rais Museveni aliwaambia wakubwa wa Ushoga, kwamba akikuta mashoga atawafungia jela na atawatoa endapo mwanaume mmoja atapata mimba..."


Soma, Pia: Wasira: Mabeberu na Vibaraka wao wanataka kuleta Ushoga
Tena hapo ushoga ndio atulie....akelea vibaya sana watoto wake mmoja kiume mkubwa tena 50yrs plus ni..upinde ....alikuwaga bank mojawapo kubwa......anajulikana hadi nyumbanii....kwao jinga sana hiki Gombe....asije kusema lolote upinde sebuleni kwake aibuuui
 
Back
Top Bottom