Pre GE2025 Wasira: Hatukatai mazungumzo, lakini hatuwezi kuamrishwa, asisitiza sera ya Samia ya 4R

Pre GE2025 Wasira: Hatukatai mazungumzo, lakini hatuwezi kuamrishwa, asisitiza sera ya Samia ya 4R

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya siasa pekee.

IMG_2835.jpeg

Wasira amesema kuna watu wanazungumza kwa kusema "No reform, no election," akisisitiza: "Sera yetu ya 4R inakubali kuzungumza, hatukatai kuzungumza, lakini hatuwezi kuamrishwa."

Wasira amesema hayo leo Jumatano, Januari 29, 2025, alipozungumza na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Geita katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Katika maelezo yake, Wasira amesema yamewahi kufanyika mazungumzo baina ya Serikali, CCM, na Chadema, ambapo Chadema walikuwa na hoja 11. Miongoni mwa zilizofanyiwa kazi ni kurejea kwa viongozi wao waliokuwa ughaibuni, akiwemo Tundu Lissu, Godbless Lema, na Ezekia Wenje.

"Serikali ya Samia (Rais Samia Suluhu Hassan) ikawambia warudi watakuwa salama. Je, wako salama, hawako salama?" amewauliza wananchi hao na kujibiwa wako salama.

Wasira ameongeza: "Kuna watu zaidi ya 400, akiwemo Lissu, walikuwa na kesi, wakaomba zifutwe, na waliokuwa wamefungwa jela walipata msamaha wa Rais kwa mamlaka aliyonayo. Wanasema maridhiano hayakuleta nafuu, sasa hiyo si nafuu?"

Soma, Pia:

Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"
 
Nadhani Wassira anakosea. Serikali ndo inatakiwa ikae na wadau kama chadema, ccm na wengine ili kujadili mustakabali mwema wa taifa . Sio ccm ikae na wadau.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya siasa pekee.

View attachment 3217773

Wasira amesema kuna watu wanazungumza kwa kusema "No reform, no election," akisisitiza: "Sera yetu ya 4R inakubali kuzungumza, hatukatai kuzungumza, lakini hatuwezi kuamrishwa."

Wasira amesema hayo leo Jumatano, Januari 29, 2025, alipozungumza na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Geita katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Katika maelezo yake, Wasira amesema yamewahi kufanyika mazungumzo baina ya Serikali, CCM, na Chadema, ambapo Chadema walikuwa na hoja 11. Miongoni mwa zilizofanyiwa kazi ni kurejea kwa viongozi wao waliokuwa ughaibuni, akiwemo Tundu Lissu, Godbless Lema, na Ezekia Wenje.

"Serikali ya Samia (Rais Samia Suluhu Hassan) ikawambia warudi watakuwa salama. Je, wako salama, hawako salama?" amewauliza wananchi hao na kujibiwa wako salama.

Wasira ameongeza: "Kuna watu zaidi ya 400, akiwemo Lissu, walikuwa na kesi, wakaomba zifutwe, na waliokuwa wamefungwa jela walipata msamaha wa Rais kwa mamlaka aliyonayo. Wanasema maridhiano hayakuleta nafuu, sasa hiyo si nafuu?"

Mzee mpeni dawa apumzike baada ya kuwa Chawa kwa miaka 60
 
4R zinatosha
Ila WAssira na uzee wake ni kati ya wazee wa CCM ambao huwa wanaweza kujenga hoja na akiwa katika mahojiano na vyombo vya habari anaweza kuulizwa chochote hata kama kinakera akakujibu pia na utani juu.
Japo mimi si mwana CCM ila huwa namkubali Mzee Wassira kwa namna fulani.
 
Ila huyu Babu angekubali kustaafu siasa kwa heshima tu.

Haya mambo ya umakamu wa Mwenyekiti yatamfanya astaafishwe siasa kwa fedhea sana.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya siasa pekee.

View attachment 3217773

Wasira amesema kuna watu wanazungumza kwa kusema "No reform, no election," akisisitiza: "Sera yetu ya 4R inakubali kuzungumza, hatukatai kuzungumza, lakini hatuwezi kuamrishwa."

Wasira amesema hayo leo Jumatano, Januari 29, 2025, alipozungumza na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Geita katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Katika maelezo yake, Wasira amesema yamewahi kufanyika mazungumzo baina ya Serikali, CCM, na Chadema, ambapo Chadema walikuwa na hoja 11. Miongoni mwa zilizofanyiwa kazi ni kurejea kwa viongozi wao waliokuwa ughaibuni, akiwemo Tundu Lissu, Godbless Lema, na Ezekia Wenje.

"Serikali ya Samia (Rais Samia Suluhu Hassan) ikawambia warudi watakuwa salama. Je, wako salama, hawako salama?" amewauliza wananchi hao na kujibiwa wako salama.

Wasira ameongeza: "Kuna watu zaidi ya 400, akiwemo Lissu, walikuwa na kesi, wakaomba zifutwe, na waliokuwa wamefungwa jela walipata msamaha wa Rais kwa mamlaka aliyonayo. Wanasema maridhiano hayakuleta nafuu, sasa hiyo si nafuu?"
Huyu mzee bado ana siasa za mwaka 47 hamna kitu huyu kiburi hicho kinatoka jeshi la polisi
 
Ila WAssira na uzee wake ni kati ya wazee wa CCM ambao huwa wanaweza kujenga hoja na akiwa katika mahojiano na vyombo vya habari anaweza kuulizwa chochote hata kama kinakera akakujibu pia na utani juu.
Japo mimi si mwana CCM ila huwa namkubali Mzee Wassira kwa namna fulani.
Mzee akili imesha anza kulala anajisahau anadhan amekuwa msemaji wa serikali, kwani hayo mazungumzo ni ya CCM na CHADEMA au serikali na vyama vya siasa?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya siasa pekee.

View attachment 3217773

Wasira amesema kuna watu wanazungumza kwa kusema "No reform, no election," akisisitiza: "Sera yetu ya 4R inakubali kuzungumza, hatukatai kuzungumza, lakini hatuwezi kuamrishwa."

Wasira amesema hayo leo Jumatano, Januari 29, 2025, alipozungumza na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Geita katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Katika maelezo yake, Wasira amesema yamewahi kufanyika mazungumzo baina ya Serikali, CCM, na Chadema, ambapo Chadema walikuwa na hoja 11. Miongoni mwa zilizofanyiwa kazi ni kurejea kwa viongozi wao waliokuwa ughaibuni, akiwemo Tundu Lissu, Godbless Lema, na Ezekia Wenje.

"Serikali ya Samia (Rais Samia Suluhu Hassan) ikawambia warudi watakuwa salama. Je, wako salama, hawako salama?" amewauliza wananchi hao na kujibiwa wako salama.

Wasira ameongeza: "Kuna watu zaidi ya 400, akiwemo Lissu, walikuwa na kesi, wakaomba zifutwe, na waliokuwa wamefungwa jela walipata msamaha wa Rais kwa mamlaka aliyonayo. Wanasema maridhiano hayakuleta nafuu, sasa hiyo si nafuu?"

Soma, Pia:

Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"
Kesi za kijinga na maridhiano ya kijinga ya kukibeba chama tawala.
 
Maridhiano hayakufanya kazi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuzuia utekaji, kuwezesha kuwa na chaguzi za haki, huru na wazi kama za Chadema Juzi.

Hawakua nania ya dhati kuwa na uchaguzi huru na wa haki. Sidhani kama itakuwa tofauti October 2025.
 
Nadhani Wassira anakosea. Serikali ndo inatakiwa ikae na wadau kama chadema, ccm na wengine ili kujadili mustakabali mwema wa taifa . Sio ccm ikae na wadau.
Huyu mzee ni kili ndogo sana. Mambo mengine wangemwachia Samia na serikali tu sio kupanua domo kila kitu.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema chama hicho ni chama kiongozi cha ukombozi na hakikatai mazungumzo na kitafanya na mtu au taasisi yoyote, si vyama vya siasa pekee.

View attachment 3217773

Wasira amesema kuna watu wanazungumza kwa kusema "No reform, no election," akisisitiza: "Sera yetu ya 4R inakubali kuzungumza, hatukatai kuzungumza, lakini hatuwezi kuamrishwa."

Wasira amesema hayo leo Jumatano, Januari 29, 2025, alipozungumza na mamia ya wananchi wa Mkoa wa Geita katika uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM.

Katika maelezo yake, Wasira amesema yamewahi kufanyika mazungumzo baina ya Serikali, CCM, na Chadema, ambapo Chadema walikuwa na hoja 11. Miongoni mwa zilizofanyiwa kazi ni kurejea kwa viongozi wao waliokuwa ughaibuni, akiwemo Tundu Lissu, Godbless Lema, na Ezekia Wenje.

"Serikali ya Samia (Rais Samia Suluhu Hassan) ikawambia warudi watakuwa salama. Je, wako salama, hawako salama?" amewauliza wananchi hao na kujibiwa wako salama.

Wasira ameongeza: "Kuna watu zaidi ya 400, akiwemo Lissu, walikuwa na kesi, wakaomba zifutwe, na waliokuwa wamefungwa jela walipata msamaha wa Rais kwa mamlaka aliyonayo. Wanasema maridhiano hayakuleta nafuu, sasa hiyo si nafuu?"

Soma, Pia:

Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"
CCM ni chama kinachonufaika na katiba hii mbovu akiwezi hata sikumoja kukubali ifanyiwe marekebisho yenye Tija inataka nchi ifikie kuwa kama kongo ndiyo waanze mazungumzo na itafikia tu hivyo siku moja si awataki Suruhu ya mezani. Hivi vyama vinaweza vikafa vyote vikabaki vyama vya kubumba ndipo hapo muziki utakapo anza kwasababu watu watafikia mahali watakuwa na uhakika kua kunakakikundi kadogo ndani ya nchi chenye majeshi na fedha ndicho kinCho watawala..
 
Mbona hasemi hizo kesi zilikuwa za mchongo na hata waliofungwa walifungwa kwa kesi za kubambikiziwa?

Anatakiwa kutubu kwa niaba ya serikalli aliyokuwa anaitumikia na sio kutaka watu wamshukuru.
 
Maridhiano hayakufanya kazi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuzuia utekaji, kuwezesha kuwa na chaguzi za haki, huru na wazi kama za Chadema Juzi.

Hawakua nania ya dhati kuwa na uchaguzi huru na wa haki. Sidhani kama itakuwa tofauti October 2025.
Kwa kweli maridhiano ya kuibeba ccm na kufubaza vyama vingine vya siasa hayatufai kwa wakati huu.
 
Mbona kama Mzee Wasira (ambaye ana HATIA ya kutoa RUSHWA wakati wa Uchaguzi wa mwaka 1995) kauli yake inaleta UKAKASi , kumbe SERIKALI yetu hufungulia watu kesi kwa kuwaonea tu na pia ikiwapendeza wanafuta tu ..AIBU
 
Mtu kufikisha umri wa miaka 80 ungali na nguvu za mwili na utimamu wa akili ni bahati na jambo la kushukuru. Inapokuwa mtu huyo ana ushawishi ktk jamii kama alivyo Stivoo, inakuwa ni bahati zaidi sio tu kwake binafsi na familia yake, bali pia kwa jamii inayomzunguka. Lakini itakuwa ni bahati mbaya sana na balaa iwapo mtu huyo haoni kuwa hiyo ni fursa kwake kutumia muda wake uliosalia kufanya kilicho kwenye uwezo wake kusaidia jamii itakayoicha nyuma ikiwa na maisha mazuri zaidi. Hili naliona kwa Stivoo. Anayo fursa ya kuwasaidia watanzania kuiona kesho iliyo bor zaidi. Hana la kupoteza. Lakini ubongo na tumbo lake havijamruhusu kufikiri “beyond” uchawa. Anaona fahari kuwa chawa maarufu kwa utawala tangu enzi za JK hadi atakaposhushwa kaburini. Kama kuna watu waliobahatika kuwa ktk utumishi wa nchi kwa muda mrefu lakini wasiache “legacy” ya maana, mmoja wao ni Stivoo. Bado ana muda, hata hivyo.
 
Back
Top Bottom