Pre GE2025 Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Pre GE2025 Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Unaweza ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imechelewa.

Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini Dodoma katika hafla ya mapokezi katika makao makuu ya chama hicho, ikilenga matamshi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ambaye alisema, "hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi."

Pia, Soma: Naibu Katibu Mkuu CHADEMA: Bila mabadiliko, 2025 hakutafanyika Uchaguzi wowote

Akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Lissu alisisitiza kuwa mabadiliko ya Katiba ni lazima kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mvutano huu unaonyesha changamoto zinazozikumba juhudi za kutafuta maridhiano ya kitaifa, huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ukikaribia.

Lissu, alisema Chadema inakubaliana na wazo la maridhiano, lakini kwa sharti kuwa yatakuwa na mwelekeo chanya.

Alisema: "Kama hakuna Katiba mpya, basi hakuna uchaguzi."
 
Unaweza ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imechelewa.

Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini Dodoma katika hafla ya mapokezi katika makao makuu ya chama hicho, ikilenga matamshi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ambaye alisema, "hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi."

Akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Lissu alisisitiza kuwa mabadiliko ya Katiba ni lazima kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mvutano huu unaonyesha changamoto zinazozikumba juhudi za kutafuta maridhiano ya kitaifa, huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ukikaribia.

Lissu, alisema Chadema inakubaliana na wazo la maridhiano, lakini kwa sharti kuwa yatakuwa na mwelekeo chanya.

Alisema: "Kama hakuna Katiba mpya, basi hakuna uchaguzi."
View attachment 3211556
Katika maisha hakuna kuchelewa, mbona vile tunavyo vipenda tunavikimbilia, tuna diliki hata kulala mlango wazi, mfano hai ni DP WORlD , mbona tuliweza kulikimbiza, akili zile zilezile hazipo?

It is never too late in life
 
Unaweza ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imechelewa.

Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini Dodoma katika hafla ya mapokezi katika makao makuu ya chama hicho, ikilenga matamshi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ambaye alisema, "hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi."

Akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Lissu alisisitiza kuwa mabadiliko ya Katiba ni lazima kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mvutano huu unaonyesha changamoto zinazozikumba juhudi za kutafuta maridhiano ya kitaifa, huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ukikaribia.

Lissu, alisema Chadema inakubaliana na wazo la maridhiano, lakini kwa sharti kuwa yatakuwa na mwelekeo chanya.

Alisema: "Kama hakuna Katiba mpya, basi hakuna uchaguzi."
View attachment 3211556
Kwani hoja ya mabadiliko ya Katiba ni mpya? Ina zaidi ya miaka kumi.
 
Naona mzee anazidi kujaa kwenye mfumo. Akianza kujibiwa wasi apply bunduki tu kama kawaida yao
 
CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya kwa mazungumzo. Ndo mana ilikuwa ni lazima TUNDU LISSU awe Mwenyekiti wa Chadema ili aongoze haya mapambano kipindi hiki.
 
Tuliwaambia umri wake hauruhusu kupewa nafasi kubwa hivyo, ona sasa amesahau tayari
 
Mwenyekiti (J.K) teua mwingine tena mkeka umechanika dakika ya 3
 
Mfatilieni vizuri wasira labda kapewa umakamu CCM alikokua mahututi hospitalini kwa miaka minne. Eti hoja imechelewa!!!
 
Katika maisha hakuna kuchelewa, mbona vile tunavyo vipenda tunavikimbilia, tuna diliki hata kulala mlango wazi, mfano hai ni DP WORlD , mbona tuliweza kulikimbiza, akili zile zilezile hazipo?

It is never too late life
Hata gas ya Mtwara serikali ilipeleka mswada wa dharula bungeni, kama ilivyo ada kwa sababu walikuwa wengi bungeni mswada ukapita. Nipo upande wako jombaa...ni kweli hakuna linaloshindikana chini ya jua!
 
Unaweza ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 imechelewa.

Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini Dodoma katika hafla ya mapokezi katika makao makuu ya chama hicho, ikilenga matamshi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ambaye alisema, "hakuna mabadiliko, hakuna uchaguzi."

Pia, Soma: Naibu Katibu Mkuu CHADEMA: Bila mabadiliko, 2025 hakutafanyika Uchaguzi wowote

Akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Lissu alisisitiza kuwa mabadiliko ya Katiba ni lazima kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mvutano huu unaonyesha changamoto zinazozikumba juhudi za kutafuta maridhiano ya kitaifa, huku uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ukikaribia.

Lissu, alisema Chadema inakubaliana na wazo la maridhiano, lakini kwa sharti kuwa yatakuwa na mwelekeo chanya.

Alisema: "Kama hakuna Katiba mpya, basi hakuna uchaguzi."
View attachment 3211556
Akili mgando
 
Hata gas ya Mtwara serikali ilipeleka mswada wa dharula bungeni, kama ilivyo ada kwa sababu walikuwa wengi bungeni mswada ukapita. Nipo upande wako jombaa...ni kweli hakuna linaloshindikana chini ya jua!
Jamii mafuvu yakirudishiwa akili katiba mpya itapatikana tu waache wanunue muda kumbuka tunaishi kwenye jamii ya bora liende, yaani kanyaga twende, jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi

Jamii ambayo inaambiwa CHADEMA, imechelewa kudai katiba mpya wengine huko wakipiga vigele gele, swali hivi katiba mpya itakuwa ya CHADEMA ama ya nchi

Binadamu hujisabishia changamoto kwa ujinga, uzembe, uvivu, ulevi, ushamba, wivu, upumbavu,, pia binadamu huyo huyo huwasabishia changamoto kwa wengine kwa makusudi ama kwa kutokujua

Tumefika hapa tulipo kwasababu ya unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a. K.a kujizima data ama kuahirisha kufikiri kizalendo, (uchawa)
 
Back
Top Bottom