Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
mtu mzima unapoanza kumjaji mwenzio kwa kuangalia mavazi ni wazi kuwa ubongo wako unahitaji kuangaliwa
Najiuliza... hivi hakukua na mtu wa kumwambia? Au waliomuona walifurahi ili wamcheke?
Binadamu sie
Kama hawezi kufunga vifungo vya koti lake, atauweza Urais huyu!? Tumechoshwa na dhaifu, wezi na wahuni ndani ya Ikulu. Wassira tupa kulee!
View attachment 225783Mbona sioni tatizo hapo, kavaa sawa ila tatizo kashusha bega moja kimikogo, au kuna upande mmoja kaajaza vitu vizito vimevuta koti; vinginevyo anatukumbushia swaga la enzi za ujana wake!!!
Mtamuua huyu mzee kwa presha mwenzenu keshachagua hadi poz la kubandikwa kwenye noti ya ten sauzend
Sio mbaya sana, kuna nyakati fulani huko kenya, Kibaki alivukwa na suruali. Tena akiwa anahutubia Taifa.
LoL!! Ukweli lazima usemwe Mkuu flora msoffe.
hatufai URAIS atakuja kuacha NYETI zinakongoya mbele ya hadhara teh teh