Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Stephen Masato Wasira, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Bara.
"Na Tundu Lissu alikuwa akisema haijapata kutokea kuwa na Rais wa ajabu kama Magufuli kama unamuita wa ajabu. Na kama unamuita wa ajabu yeye atakuwa anaujua uajabu wake Mimi siufahamu.
"Kwahiyo matokea hayo yaliyotokea. Wapinzani na JPM walishughuliana. Ukimtukana Rais na rais ana reacts. Rais naye ni mtu. Ukimtukana na yeye anakutukana"
"Na Tundu Lissu alikuwa akisema haijapata kutokea kuwa na Rais wa ajabu kama Magufuli kama unamuita wa ajabu. Na kama unamuita wa ajabu yeye atakuwa anaujua uajabu wake Mimi siufahamu.
"Kwahiyo matokea hayo yaliyotokea. Wapinzani na JPM walishughuliana. Ukimtukana Rais na rais ana reacts. Rais naye ni mtu. Ukimtukana na yeye anakutukana"