Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema chama hicho kimedhamiria kuleta mapinduzi katika maisha ya wananchi huku akitumia vijembe kwa Chadema kuwa katika uchaguzi wa viongozi wa kitaifa waligawana fito.
Soma Pia: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA
Wasira amesema hayo leo Jumamosi, Februari 8, 2025 alipokuwa akizungumza na Wana-CCM alipowasili kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara na kueleza kuwa CCM itaendelea kuwatoa Watanzania katika hali duni na kuwajengea misingi ya maisha bora kadiri inavyowezekana.
Soma Pia: Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA
Wasira amesema hayo leo Jumamosi, Februari 8, 2025 alipokuwa akizungumza na Wana-CCM alipowasili kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara na kueleza kuwa CCM itaendelea kuwatoa Watanzania katika hali duni na kuwajengea misingi ya maisha bora kadiri inavyowezekana.