Wakati huo huo, ule mkutano wa CCM kule Dodoma iliishia kwa wanaCCM wakigawana jembe na nyundo, huku wakitoka na manung'uniko wakisema safari hii hakuna tena kulima wala kujenga ni mwendo wa kuuana, kuchimba makaburi na kuzikana.
Tunasubiri muda useme kitu.