Wasira yupo toka kipindi cha Nyerere!

Wasira yupo toka kipindi cha Nyerere!

Upo wasifu bora wa mzee Wassira kuliko huu?

View attachment 3205376

Kumbe ndiyo maana, mwamba kung'atuka hakumuingii akilini:

"Yuko ma "role models" wake!"
Kamati ya Usalama na maadili ya ccm inaongozwa na makamu mwenyekiti.

Chadema kamati kama hiyo pia inaongozwa na Lisu kikatiba, lakini Lisu badala ya kutumia mamlaka yake ameamuwa kuwa mropokaji tu wakati anayo mamlaka ya kikatiba kusimamia nidhamu.
 
Pokea hiyo Mzee wa bapa
Screenshot_20250118_165146_Google.jpg
 
Kamati ya Usalama na maadili ya ccm inaongozwa na makamu mwenyekiti.

Chadema kamati kama hiyo pia inaongozwa na Lisu kikatiba, lakini Lisu badala ya kutumia mamlaka yake ameamuwa kuwa mropokaji tu wakati anayo mamlaka ya kikatiba kusimamia nidhamu.

Hayo yalikuwa ya kwenye mdahalo jana:

GhfNpRNXoAAuh7s.jpeg


Kwani kuna m CCM aliyeulaza upinde?

Kwamba sasa yuko anapiga porojo kama ilivyo kawaida ya ma CCM?
 
Back
Top Bottom