Kamati ya Usalama na maadili ya ccm inaongozwa na makamu mwenyekiti.Upo wasifu bora wa mzee Wassira kuliko huu?
View attachment 3205376
Kumbe ndiyo maana, mwamba kung'atuka hakumuingii akilini:
"Yuko ma "role models" wake!"
..MAKONGORO alifikiri Wasira ni kwishneπ sasa inakula kwake, ni bosi mkubwa sana anauhakika wa miaka 5 powerHONGERA wASIRA.......YUPO
Kamati ya Usalama na maadili ya ccm inaongozwa na makamu mwenyekiti.
Chadema kamati kama hiyo pia inaongozwa na Lisu kikatiba, lakini Lisu badala ya kutumia mamlaka yake ameamuwa kuwa mropokaji tu wakati anayo mamlaka ya kikatiba kusimamia nidhamu.