comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Wana jf.
Benki ya twiga bancorp yapungukiwa mtaji hasa kutokana na wadai kutorejesha fedha walizokopa benki kwa wakati na benki kupungukiwa na mitaji ya kujiendesha, hivyo serikali iliongeza fedha za kuendesha benki hiyo lakini imeshindwa kujiendesha, hatua hiyo huenda ikazikumba benki nyingine hivyo ni bora ziwabane wadeni wake mapema warejeshe fedha hizo walizowakopa wateja wao haraka na kwa ufuatiliaji wa hali ya juu isitokee kama kwa twiga bancorp
Benki ya twiga bancorp yapungukiwa mtaji hasa kutokana na wadai kutorejesha fedha walizokopa benki kwa wakati na benki kupungukiwa na mitaji ya kujiendesha, hivyo serikali iliongeza fedha za kuendesha benki hiyo lakini imeshindwa kujiendesha, hatua hiyo huenda ikazikumba benki nyingine hivyo ni bora ziwabane wadeni wake mapema warejeshe fedha hizo walizowakopa wateja wao haraka na kwa ufuatiliaji wa hali ya juu isitokee kama kwa twiga bancorp